dega
JF-Expert Member
- Dec 18, 2012
- 3,171
- 3,087
WEWEE MSHENZ USINITAFUTIE BAN !! OHOOO MSHATUVURUGA MJUWEENothing can stop me ,mlivyo wazembe tutawatawala mpaka kieleweke
WEWEE MSHENZ USINITAFUTIE BAN !! OHOOO MSHATUVURUGA MJUWEENothing can stop me ,mlivyo wazembe tutawatawala mpaka kieleweke
Kwani unateseka ?ZANZIBAR KISIWA KINAKARIBIA KUZAMA MUMEJAZANA MPK BASI MNAHARIBU CULTURE ZETU MILA ZETU YAANI UCHAFU MKUONA BEACH NDIO AIBU MNAVUA NGUO MNAKOGA UCHII AU NA VICHUPI VYEUSIIIIII
AIBU
Siongelei DINI naongelea NCHI YANGU NCHI YA WAZAZI WANGU MLIOITEKA NA KUTUBURUZA NA KUTUNYANGANYA RASILIMALI ZETUUKwani unateseka ?
Acha watu waenjoy maisha we baki na dini yako
Umofya kwenu,
Kama kichwa cha mada kinavyojieleza, hivi huko Zanzibar wanaongozwa kidini au la? Maana naona mambo mengi ya kijamii, dini moja inaonekana kupewa kipaumbele.
Mfano vyombo vya habari ZBC zimeadopt taratibu za dini fulani kwa kuonesha ibada zao mara kwa mara.
Imenibidi niulize kwani Serikali huko visiwani ina dini?
Nawasilisha
Zanzibar haiyongozwi kidini ila ila utamafuni na mila ni za Kislaamu ziko karibu sanaUmofya kwenu,
Kama kichwa cha mada kinavyojieleza, hivi huko Zanzibar wanaongozwa kidini au la? Maana naona mambo mengi ya kijamii, dini moja inaonekana kupewa kipaumbele.
Mfano vyombo vya habari ZBC zimeadopt taratibu za dini fulani kwa kuonesha ibada zao mara kwa mara.
Imenibidi niulize kwani Serikali huko visiwani ina dini?
Nawasilisha
Mimi ni mwenyeji na mzawa wa pwani, wazanzibari na wapemba tunakaribiana sana kwa mambo mengi, mlipokimbia visiwani na kuja bara, tuliwakaribisha kwa mikono miwili bila ubaguzi, mkashamiri, leo mnakuja na ubaguzi na kujiona.ZANZIBAR KISIWA KINAKARIBIA KUZAMA MUMEJAZANA MPK BASI MNAHARIBU CULTURE ZETU MILA ZETU YAANI UCHAFU MKUONA BEACH NDIO AIBU MNAVUA NGUO MNAKOGA UCHII AU NA VICHUPI VYEUSIIIIII
AIBU
SAWA SAWAZanzibar haiyongozwi kidini ila ila utamafuni na mila ni za Kislaamu ziko karibu sana
Huwezi kutufananisha na nyinyi ZANZIBAR sawa na Mkoa mmoja wa Tangannyika mkiingia laki mbili tuu mshafuta utambulisho wetu TUNA HAKI YA KULINDA UTAMBULISHO HUO MSIUFUTE VICHWA MAJIMimi ni mwenyeji na mzawa wa pwani, wazanzibari na wapemba tunakaribiana sana kwa mambo mengi, mlipokimbia visiwani na kuja bara, tuliwakaribisha kwa mikono miwili bila ubaguzi, mkashamiri, leo mnakuja na ubaguzi na kujiona.
Dah kisiwa kinazama au kina cha maji kinaongezeka?ZANZIBAR KISIWA KINAKARIBIA KUZAMA MUMEJAZANA MPK BASI MNAHARIBU CULTURE ZETU MILA ZETU YAANI UCHAFU MKUONA BEACH NDIO AIBU MNAVUA NGUO MNAKOGA UCHII AU NA VICHUPI VYEUSIIIIII
AIBU
Serikali ya Zanzibar ni ya kiislam toka zamani. Serikali ya muungano (Tanzania ) haina dini.Umofya kwenu,
Kama kichwa cha mada kinavyojieleza, hivi huko Zanzibar wanaongozwa kidini au la? Maana naona mambo mengi ya kijamii, dini moja inaonekana kupewa kipaumbele.
Mfano vyombo vya habari ZBC zimeadopt taratibu za dini fulani kwa kuonesha ibada zao mara kwa mara.
Imenibidi niulize kwani Serikali huko visiwani ina dini?
Nawasilisha
Serikali ya Zanzibar ni ya kiislam toka zamani. Serikali ya muungano (Tanzania ) haina dini.
Wazungu wakitembea uchi bahari hamusemi kitu, lakini watumbatu wenzenu wakiogelea na chupi nyeuzi nongwa.Huwezi kutufananisha na nyinyi ZANZIBAR sawa na Mkoa mmoja wa Tangannyika mkiingia laki mbili tuu mshafuta utambulisho wetu TUNA HAKI YA KULINDA UTAMBULISHO HUO MSIUFUTE VICHWA MAJI
Na mnakuja kufanya nini wakati hakuna mlichokua hamna kwenu
"WIVU TUU"
Kwani kuna mtu hata mmoja anayefunga kwaresma? Mana toka nizaliwe sijawahi kumuona hata mmoja, ingawa upande wa mamangu ni wakristo.Umesahau pia kuwa wakati wa Kwaresma ni halali kula mchana ila wakati wa ramadhan ni haramu kula mchana
😀Umofya
Ni kukosa aibu kuitaja Zanzibar kuwa nchi.Umofya kwenu,
Kama kichwa cha mada kinavyojieleza, hivi huko Zanzibar wanaongozwa kidini au la? Maana naona mambo mengi ya kijamii, dini moja inaonekana kupewa kipaumbele.
Mfano vyombo vya habari ZBC zimeadopt taratibu za dini fulani kwa kuonesha ibada zao mara kwa mara.
Imenibidi niulize kwani Serikali huko visiwani ina dini?
Nawasilisha
Haiongozwi kidini ila tunafuata taratibu za kiislam maana karibia wazanzibar wote ni waislam.Umofya kwenu,
Kama kichwa cha mada kinavyojieleza, hivi huko Zanzibar wanaongozwa kidini au la? Maana naona mambo mengi ya kijamii, dini moja inaonekana kupewa kipaumbele.
Mfano vyombo vya habari ZBC zimeadopt taratibu za dini fulani kwa kuonesha ibada zao mara kwa mara.
Imenibidi niulize kwani Serikali huko visiwani ina dini?
Nawasilisha