Hivi Zanzibar inaongozwa kidini?

Hivi Zanzibar inaongozwa kidini?

Hakuna watu wachafu kama wanzanzibari, kipindupindu lazima kila mwaka kiwepo ila hamtangazi, nimefika mara nne sokoni hakufai mainzi kila kona, sehemu za kulia ni uchafu tupu, unakuta mwanamke anaburuza na sijui mavazi ghani hayo uchafu wote aningia nao ndani afu anavua viatu, Wtf is that?

Tabia za kulana nyuma ndio mahala pake, afu mnajitia washika dini?

Mpaka mfumo wa elimu mmebadilisha eti mwarabu hakutumikisha waafrika ila mzungu?

Ha ha ha, endeleeni kuwatumikia mabwana zenu huku mkishika mkia kielimu kila uchao. Shame on you.
Sasa huko waliko wachafu we unakwenda kufanya nini? Si ubaki kwa wasafi wenzio. Inamaanisha nawe pia unapenda uchafu.
 
Kwani ukiona sehemu haikufai si uondoke uwaache wenyeji na utamaduni wao.
Kama wewe huli chura ukienda China utalazimishwa kukaa? Si unarudi kwenu ambako hamli chura.
 
Mnashukuriwa na wale wasaliti mnaowahonga vyeo kinyume na hao wanakushukuruni WAZANZIBARA BUT kwa Wazanzibar mtasubir SANA
Nyie mnaolamba miguu ya magabachori waarabu ndio mnaopuza mapinduzi lakini wanzanzibar wenye akili timamu huyaita mapinduzi matukufu.

Sent from my Desire12 using JamiiForums mobile app
 
Umofya kwenu,

Kama kichwa cha mada kinavyojieleza, hivi huko Zanzibar wanaongozwa kidini au la? Maana naona mambo mengi ya kijamii, dini moja inaonekana kupewa kipaumbele.

Mfano vyombo vya habari ZBC zimeadopt taratibu za dini fulani kwa kuonesha ibada zao mara kwa mara.

Imenibidi niulize kwani Serikali huko visiwani ina dini?

Nawasilisha
Fuatilia Zbc jumapili halafu leta mrejesho
Halafu hujafika Zanzibar ukiingia tu bandarini unakutana na kanisa kongwe kabisa Afrika Masharaki na kati
Zanzibar inao wakristo wazanzibari,kina Mwakanjuki na Castico
 
Back
Top Bottom