Hivi Zanzibar inaongozwa kidini?

Hivi Zanzibar inaongozwa kidini?

evart

JF-Expert Member
Joined
Sep 4, 2016
Posts
2,838
Reaction score
2,774
Umofya kwenu,

Kama kichwa cha mada kinavyojieleza, hivi huko Zanzibar wanaongozwa kidini au la? Maana naona mambo mengi ya kijamii, dini moja inaonekana kupewa kipaumbele.

Mfano vyombo vya habari ZBC zimeadopt taratibu za dini fulani kwa kuonesha ibada zao mara kwa mara.

Imenibidi niulize kwani Serikali huko visiwani ina dini?

Nawasilisha
 
Wale hawajitambui kabisa, viongozi wanaongoza kutojana na imani yao, juzi tuliambiwa kuwa zanzibar ni jiji, pale pametekwa panahitaji ukombozi.
 
  • Thanks
Reactions: PNC
Umofya kwenu,

Kama kichwa cha mada kinavyojieleza, hivi huko Zanzibar wanaongozwa kidini au la? Maana naona mambo mengi ya kijamii, dini moja inaonekana kupewa kipaumbele.

Mfano vyombo vya habari ZBC zimeadopt taratibu za dini fulani kwa kuonesha ibada zao mara kwa mara.

Imenibidi niulize kwani Serikali huko visiwani ina dini?

Nawasilisha
Unauliza majibu? Kwani ulikuwa hujui?!
 
Serikali haina dini ila watu wake wanadini
Umofya kwenu,

Kama kichwa cha mada kinavyojieleza, hivi huko Zanzibar wanaongozwa kidini au la? Maana naona mambo mengi ya kijamii, dini moja inaonekana kupewa kipaumbele.

Mfano vyombo vya habari ZBC zimeadopt taratibu za dini fulani kwa kuonesha ibada zao mara kwa mara.

Imenibidi niulize kwani Serikali huko visiwani ina dini?

Nawasilisha
 
TUNAJUWANA IKO SIKU UKWELI UTADHIHIR HIVI VI THREAD VYEMU HUMU MNAZIDI KUWAAMSHA WALIOLALA MIONGONI MWETU
Nothing can stop me ,mlivyo wazembe tutawatawala mpaka kieleweke
 
ZANZIBAR KISIWA KINAKARIBIA KUZAMA MUMEJAZANA MPK BASI MNAHARIBU CULTURE ZETU MILA ZETU YAANI UCHAFU MKUONA BEACH NDIO AIBU MNAVUA NGUO MNAKOGA UCHII AU NA VICHUPI VYEUSIIIIII
AIBU
 
Back
Top Bottom