Hivi Zanzibar inaongozwa kidini?

Hivi Zanzibar inaongozwa kidini?

Wale hawajitambui kabisa, viongozi wanaongoza kutojana na imani yao, juzi tuliambiwa kuwa zanzibar ni jiji, pale pametekwa panahitaji ukombozi.
Hapo ndipo nilipochoka ,nchi sasa inakuwa jiji
 
Acha kufananisha vitu vya ivo bana. Hatujaidhinisha kama waitaliano. Pale vaticani ni dini moja tuuuu. Zenje nawaambia tena ni sehemu ndogo ya Tanzania iliyokaliwa na wengi wa din ya KIISLAMU.
Zanzibar ni kama VATICAN
 
Zanzibar ni NCHI KAMILI
Acha kufananisha vitu vya ivo bana. Hatujaidhinisha kama waitaliano. Pale vaticani ni dini moja tuuuu. Zenje nawaambia tena ni sehemu ndogo ya Tanzania iliyokaliwa na wengi wa din ya KIISLAMU.
 
Wazanzibar ni Waislamu, Wakrsto ni Wavamizi toka Tanganyika tu hawana haki yoyote.
Mmmmmm mbona kuna ambao ni WAKRISTO. sema din moja imelowea sana ndio maan MUSLIM they must be given fever. Ndo mana DIN zingine zilozopo hazina complain. PIA nchi ijadiliwe but DINI tuziache iman ni personal.
 
Wako mahotelini wanafumuliwa marinda Watanganyika njoo uwaongoze NYAMBAFFFF
Amini nachokuambia. Iyo ni typing error. Usitoke povu. Mm naja zenji na ntakuwa kiongozi I SWEAR TO MY GOD.
 
Mmmmmm mbona kuna ambao ni WAKRISTO. sema din moja imelowea sana ndio maan MUSLIM they must be given fever. Ndo mana DIN zingine zilozopo hazina complain. PIA nchi ijadiliwe but DINI tuziache iman ni personal.
Nafikiri tunaenda Sawa
Ukiona sehemu fulani dini ya dhehebu fulani lmeshamiri kwa idadi ya watu basi hao wengine lazima wawe wapole

Ova
 
Umofya kwenu,

Kama kichwa cha mada kinavyojieleza, hivi huko Zanzibar wanaongozwa kidini au la? Maana naona mambo mengi ya kijamii, dini moja inaonekana kupewa kipaumbele.

Mfano vyombo vya habari ZBC zimeadopt taratibu za dini fulani kwa kuonesha ibada zao mara kwa mara.

Imenibidi niulize kwani Serikali huko visiwani ina dini?

Nawasilisha
We ulitakaje wakati Makafiri hawafiki hata asilimia 10?
 
Acha kufananisha vitu vya ivo bana. Hatujaidhinisha kama waitaliano. Pale vaticani ni dini moja tuuuu. Zenje nawaambia tena ni sehemu ndogo ya Tanzania iliyokaliwa na wengi wa din ya KIISLAMU.
Nao ndo wanataka hivyo ndio maana hawawataki watanganyika
 
Tatizo lako nini !? Wewe ni mzanzibari ?
Umofya kwenu,

Kama kichwa cha mada kinavyojieleza, hivi huko Zanzibar wanaongozwa kidini au la? Maana naona mambo mengi ya kijamii, dini moja inaonekana kupewa kipaumbele.

Mfano vyombo vya habari ZBC zimeadopt taratibu za dini fulani kwa kuonesha ibada zao mara kwa mara.

Imenibidi niulize kwani Serikali huko visiwani ina dini?

Nawasilisha
 
Zanzibar sionagi kama ina utofauti na nchi za kiislamu
 
Back
Top Bottom