HIVI YULE LULU MUIGIZAJI KAPATA DIVISION ya NGAPI ?

Ali Choki aliwahi kusema shule kitu gani wakati yeye hajasoma na ulaya kaenda na ana gari.
 
nyooo,kombi zibalance lulu?,walah narudia akiscore 34 naandamana na waznz kulishtak balance kwa upendeleo wa waz kbs...weken link hapa
 
duh, kaka/dada mbona umemkomalia sana huyu binti? Binafsi siwezi kuanika taarifa zake zaidi ya nilizoweka. Ila ndo hivyo mwenzako kombi zimebalance.. viva luluto!

Hilo ndiyo jibu... Huwezi ...

Lakini ukiweka kitu bila kutujulisha source yako usione umeonewa ukiulizwa...
 
Yamkini inaonesha ni jinsi gani 2livyo na vpaji vya waandishi wa udaku.
Teh! This Country iz VERY rich.
 
Mnahangaiiiiika, haya hapa matokeo yake

P1475/0074
F
ELIZABETH EMMANUEL
35
FLD
CIV-F KISW-F ENGL-F BIO-F B/MATH-F COMM-F B/KEEPING-F

 
Hata kama angekua amefaulu nisingeshangaa! Nyie mmesahau yule mama aliyekwenda kwenye vyombo vya habari kulalamika kua kwanini mtoto wake amefaulu na huku hajui kusoma na kuandika? Hizo ndizo shule za bongo.
 
duh, kaka/dada mbona umemkomalia sana huyu binti? Binafsi siwezi kuanika taarifa zake zaidi ya nilizoweka. Ila ndo hivyo mwenzako kombi zimebalance.. viva luluto!

Wakati alishaogopa umande siku nyingi
 
Back
Top Bottom