Alikuwa shule gani?
Kama si mwanaasha ya 32 basi kataga
Ana III ya 21, penalty ya Maths.. Amejitahidi, lol!
duh, kaka/dada mbona umemkomalia sana huyu binti? Binafsi siwezi kuanika taarifa zake zaidi ya nilizoweka. Ila ndo hivyo mwenzako kombi zimebalance.. viva luluto!
P1475/0074 | F | ELIZABETH EMMANUEL | 35 | FLD | CIV-F KISW-F ENGL-F BIO-F B/MATH-F COMM-F B/KEEPING-F |
duh, kaka/dada mbona umemkomalia sana huyu binti? Binafsi siwezi kuanika taarifa zake zaidi ya nilizoweka. Ila ndo hivyo mwenzako kombi zimebalance.. viva luluto!
kwa ninavyomsikia labda kama alivua naniliu...