Yokozuna = ni pombe inayotengenezwa locally na kuwa packed kwenye vichupa used kama vile banana, inapatikana sana kusini mwa kenya, malawi na zambia, na kwa Tanzania utaikuta sana Rombo na mbeya(mpakani malawi)...
Verve = Ni aina ya pombe kali inayowekwa kwenye viroba au chupa kutoka Malawi, Hivyo jamaa anamaanisha pombe hiyo na sio milungi..
kumbuka baddest anatokea kyela, na hata original ya wimbo huo kaufanya kyela na kwa huku mbeya umetoka mwaka juzi(2018), nashangaa DSM umeanza kusikika late 2019..
Maana ya wimbo ni kwamba jamaa ameopoa demu sasa anataka akamie shoo, so anawaza aboost kwa pombe gani ili apige shoo kisawasawa...
Msafwa,
Uporoto, Mbeya..