TAI DUME
JF-Expert Member
- Feb 20, 2014
- 8,859
- 23,119
Kwani unaposema msanii kioo Cha jamii maanake Nini? Kioo hakidanganyi, kinaonyesha reflection au image ya kitu Kama kilivyo.Kwa hiyo jamii isiyokuwa na maadili wasanii wanatakiwa kuendelea kuinyima maadili zaidi kupitia nyimbo zao au wanatakiwa kupenyeza maadili kwenye jamii hiyo kupitia nyimbo zao?