mbingunikwetu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 13,910
- 18,558
Hata huo ualimu watu wametemwa wale waliokimbilia UDSM, DUCE na vyuo vingine vya serikali!.Inategemea kozi uloomba maana mimi na 3 yangu nimepata kiulainii ualimu
Hata huo ualimu watu wametemwa wale waliokimbilia UDSM, DUCE na vyuo vingine vya serikali!.Inategemea kozi uloomba maana mimi na 3 yangu nimepata kiulainii ualimu
Fanya chochote mkuuWe acha tu mkuu hapa ata sielew cha kufanya
Mmh inawezekana div 2Hata huo ualimu watu wametemwa wale waliokimbilia UDSM, DUCE na vyuo vingine vya serikali!.
mbona kama umepanic baba,ulipiga kibuyu nini form 6Lazma utemwe kwani 1.9 ndo nn watu Wana ya 3 alafu ulivyokuwa mbumbumbu unalazimisha koz zenye ushindani

Tatizo lenu mnaomba course za magwiji kama petroleum and gas,Telecommunication,compueter science etc sasa utapataje unadhani,kwanini usiombe Chemical and Processing etcInanishangaza hii kila aliekosa nafasi kwa first round ni mwenye div2 sijasikia mwenye one au three ya mwanzo yaani DDE wanalalamika au wanaomba msaada wa second round
AU TCU WAMEWABANIA KWA MAKUSUDI ZAIDI WENYE DIV2?
Lazima mtemwe wewe una chagua chuo kwa sababu ujawai fika dar es salaam
Tatizo lenu mnaomba course za magwiji kama petroleum and gas,Telecommunication,compueter science etc sasa utapataje unadhani,kwanini usiombe Chemical and Processing etc
Kuna mshkaj wang tumeomba vyuo sawa yy ana three ya 13. Alaf mm nina two ya 10.Inanishangaza hii kila aliekosa nafasi kwa first round ni mwenye div2 sijasikia mwenye one au three ya mwanzo yaani DDE wanalalamika au wanaomba msaada wa second round
AU TCU WAMEWABANIA KWA MAKUSUDI ZAIDI WENYE DIV2?
ww utakua haina ata vigezo vya kujiunga chuo. Ndio mana unaponda.Lazima mtemwe wewe una chagua chuo kwa sababu ujawai fika dar es salaam
Lazima mtemwe wewe una chagua chuo kwa sababu ujawai fika dar es salaam

Waliomba kozi zenye ushindani, mimi mdogo wangu wa mwisho ana PCB Div2 ya point10, aliomba MD Kakosa wamemuambia ajaribu tena, ila yupo mwingine ana point12 PCB aliomba ualimu wamempa nafasi ila hajui chuo atapangiwa wapiHata mimi mdogo wangu ana DIV2 ya 10 ila kakosa kaambiwa aombe round ya 2
Mkuu nina matusi sio kitoto, cuhas nimeomba mara mbili ila nimetemwa, kuna jamaa ana12 kachukiliwa. St john pharmacy pia ninetemwa. Acha matusi mzee kama unayo matusi mengi kamtukane mama akoLazma utemwe kwani 1.9 ndo nn watu Wana ya 3 alafu ulivyokuwa mbumbumbu unalazimisha koz zenye ushindani
Mkuu usiangaike nae huyu anatoa maneno ayo ,kwasabab hana vigezo vya kusema chuo mwaka huu au ata kufika hii elim ya juu. Maana aliyeelimika hawez kutoa majib kama hayaMkuu nina matusi sio kitoto, cuhas nimeomba mara mbili ila nimetemwa, kuna jamaa ana12 kachukiliwa. St john pharmacy pia ninetemwa. Acha matusi mzee kama unayo matusi mengi kamtukane mama ako
Lazma utemwe kwani 1.9 ndo nn watu Wana ya 3 alafu ulivyokuwa mbumbumbu unalazimisha koz zenye ushindani