Hivi wenye Div2 ndio waliotemwa na TCU?

Hivi wenye Div2 ndio waliotemwa na TCU?

Tatizo lenu mnaomba course za magwiji kama petroleum and gas,Telecommunication,compueter science etc sasa utapataje unadhani,kwanini usiombe Chemical and Processing etc
uyo gwij alizaliwa nayo yan kuna watu elimu haiwasaidii mlijaza madarasa bure inasikitsha sana
 
Div2 weng mmetemwa kwasabab mmejion mnaufaulu wa juu mkizan wenye dv1 wako wachache nanyie mkaomba kozi zenye ushindan San na mkazarau kozi zisizo na majina.. Weny dv3 weng wamepat kwasabab wameomb kozi Za kawaid kutokan na kukubalian na matokeo Yao tu
we ka uko chuo inaonyesha ulienda ili usikae om
 
Waliomba kozi zenye ushindani, mimi mdogo wangu wa mwisho ana PCB Div2 ya point10, aliomba MD Kakosa wamemuambia ajaribu tena, ila yupo mwingine ana point12 PCB aliomba ualimu wamempa nafasi ila hajui chuo atapangiwa wapi
Aliomba chuo gani
 
DDS yangu huyyooooooooo university bila ya mvujo Ahsante Mungu[emoji126] [emoji126] [emoji126] [emoji126] [emoji126]
 
Div2 weng mmetemwa kwasabab mmejion mnaufaulu wa juu mkizan wenye dv1 wako wachache nanyie mkaomba kozi zenye ushindan San na mkazarau kozi zisizo na majina.. Weny dv3 weng wamepat kwasabab wameomb kozi Za kawaid kutokan na kukubalian na matokeo Yao tu
U are complety right nna three o Level and A Level nimeomba viwili tu NIT capacity 400 IFM capacity 200 nliselect course nne Kila chuo mbili now nimekuwa selected Kati ya hivo viwili nasubir confirmation Ahsante Mungu[emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120]
 
Wakati mwingine katika maisha inabidi kuchukua RISK kidogo. Sishangai wenye 2 wakajaza vyuo vikali na kushindana na div 1. Kifupi wenye 2 wapo katikati ya Div 1 na 3, hivyo mizani yao inaruhusu kurisk kidogo ukizingatia kuwa kuna round 2 ambayo wanastahili kujipima na Div 3 zaidi kuliko Div 1.

Hongereni, hamkufanya makosa kwani maisha ni kujiamini na ulichonacho mkononi. Endeleeni kupambana wala msikatishwe moyo.
umeongea point sana
wengine wanatukana na kutoa maneno ya kejeli wakati amna mwenye uakika kua vigezo gani vimetumika ni vema ukamshauri mtu vizur au kama uwez unasoma unakausha tu mjue saingine aya ni maisha ya watu muwe fair likija swala la elimu
 
U are complety right nna three o Level and A Level nimeomba viwili tu NIT capacity 400 IFM capacity 200 nliselect course nne Kila chuo mbili now nimekuwa selected Kati ya hivo viwili nasubir confirmation Ahsante Mungu[emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120]

Tukutane NIT kama ukija hukooo Mkuu
 
Hata kama mña pointi sawa mnaweza kutofautiana pass kwenye masomo mliyochukua! Ina maana nyie mko saws kwa ppinti na grade za msomo yenu?
Hata hivyo wasipokuchagua wanakupa sababu kwa nini hujachsguliwa. Je wamekupa sababu gani?
kuna suala la Pass ya Basic mathematics
kwa form 4, i think na hili wanaliangalia
sana. Maana course nying ziliandikwa kuwa
muombaji awe na at least simple pass (D)
ya Maths kwa O level. na waliotemwa wengi
wana F ya Maths form 4 japo kuwa mtu ana
div 2 A levl. lakin weny div 2 na wana pass
ya maths o levl weng wamechaguliwa.
 
Hata kama mña pointi sawa mnaweza kutofautiana pass kwenye masomo mliyochukua! Ina maana nyie mko saws kwa ppinti na grade za msomo yenu?
Hata hivyo wasipokuchagua wanakupa sababu kwa nini hujachsguliwa. Je wamekupa sababu gani?
tcu hawajaweka sabab yoyote
 
Kingine wadogo zangu fateni ushauri kwa wakubwa zenu pitieni guide book vizuri PIAA Angalieni cutting point ZILE kwa umakini pia kubalianeni na matokeoo yenu naamini wengi wenye division 3 wamechagua vyuo Kulingana na matokeo Yao lakini wengi wenye two wamejipa moyo kuwa Wanaweza Ku compete popote kutokana na division zao so kinachotokea ni kukutana na division one kibao kwenye course Hizo tata so ushaUri wangu pitieni guide book vizuri Kutokana na cutting point ya kila Chuo pia tokeo la form four linamataa
 
Sasa Heshima itarudi Ya Kuto Kuzarau Chuo! Nasubiri Mwakani 2017/18 Niangalie Kama Atatokea PCB mwenye TWO Atakae izarau MD ya St. Joseph!

Yani Mtu ana Two Halafu Anaitaka MUHAS???????????????????
Ama wewe Kweli Amekusudui kuifanya Bange ionekane Mbaya.
 
Sasa Heshima itarudi Ya Kuto Kuzarau Chuo! Nasubiri Mwakani 2017/18 Niangalie Kama Atatokea PCB mwenye TWO Atakae izarau MD ya St. Joseph!

Yani Mtu ana Two Halafu Anaitaka MUHAS???????????????????
Ama wewe Kweli Amekusudui kuifanya Bange ionekane Mbaya.
Pia Hawa wadogo zetu wamedharau baadhi Yao wamedharau BAADHI ya vyuo kwa kusikiliza Maneno mtaani bila kufatilliaaa fact wengi muhas udsm kumbe kule wanakutana competition kaliii
 
Back
Top Bottom