FredaF
Senior Member
- Sep 11, 2016
- 161
- 67
Mwambie wenye nguvu za sippy soda hawagusi. Na najua mazuri yakuja soon.Mkuu usiangaike nae huyu anatoa maneno ayo ,kwasabab hana vigezo vya kusema chuo mwaka huu au ata kufika hii elim ya juu. Maana aliyeelimika hawez kutoa majib kama haya