Hivi wengine wanapata wapi ujasiri wa namna hii?

Requal

JF-Expert Member
Jun 5, 2020
1,025
1,905
Wanabodi,

Hata Kama ni uzungu jamani, wabongo unapata wapi nguvu za kufanya hivi?

😎👇👇 Cheki picha hapo chini ina maelezo.

FB_IMG_1593447986926.jpg
 
Mambo Mengi Sana
Hii Tunaweza Kuiitaje Sasa
Kupanga Ni Kuchagua!!!!!
 
Hawajui mkanganyiko walioutengeneza kiroho happy,
Ukisikia laana....
Ndo iyo na wataipata.
Siwana kulitafuta
 
Ndoa ilishapangwa..ilibidi ndoa iendelee walivyotoka hapo wakaenda kuzika..na ndiyo maana wakaamua misa yao ya ndoa iwe sambamba na misa ya mama yao..sijaona uzungu wowote hapo.
Hawa wanawake Hawa..

Wewe unaweza hivo, mama yako akiwa ndani ya jeneza?

Ndoa? Ndoa ushuzi gani mbele ya kifo Cha mama mzazi?
 
Unafunga ndoa, mwili wa mama yako uko nyuma ya jeneza, unasema dedication?
Damn right.
Kama mama alifariki kwenye sendoff. Wana haki ya kuomboleza. Kwao ni harusi ni more than wao..?
It more about mama alielala ndani ya jeneza.
Maybe hiyo ndio sherehe ya mwisho na hawataonana tena.
Kila mtu ana attachment tofauti
 
Watz tuna mambo ya kukariri sana. Mtu akifa kafa. Hata ufanye nini. Aina ya msiba unaouweka, sala, maombi, etc ni kwa ajili ya faraja ya nyie mliobaki. Yule mfu haimhusu na haimuongezei wala kumpunguzia anayokutana nayo huko aliko. Kwahiyo, kama wewe faraja yako ni kwaya, RUKSA, kama ni kisomo, RUKSA, kama ni mikogo ya wale Waghana, RUKSA, kama ni kuendelea na maisha yako kwa kufunga ndoa, RUKSA.

Pia si kila kifo ni cha kuhuzunisha. Wengine wameteseka kwa maradhi, Mungu anashukuruwa kuwapumzisha. etc.

Kama hao sampuli ya akina Lokole wameweza kukubali kuwekwa unyumba kama mabinti na kufukuliwa, sembuse hii.
 
Damn right.
Kama mama alifariki kwenye sendoff. Wana haki ya kuomboleza. Kwao ni harusi ni more than wao..?
It more about mama alielala ndani ya jeneza.
Maybe hiyo ndio sherehe ya mwisho na hawataonana tena.
Kila mtu ana attachment tofauti
Hiyo ndoa haiwezi dumu kwa sababu Mungu alitaka waahirishe kwanza ili wamzike mama yao lakini wao wakaona kwamba hata kama mtu mzito sana kama mama akifa bado ratiba yao haiwezi kuahirishwa sijajua kama bi harusi angekufa bwana harusi angeendelea kufunga ndoa na nani? Ndoa ni jambo la kupanga kifo hakipangiwi tarehe sioni kwa namna yeyote kupeleka ndoa na msiba kwa pamoja haviendi labda kama walipanga mama mkwe afe ahapo watakuwa na ujasiri wa kuendelea na shughuli ya ndoa.
 
Ndoa ilishapangwa..ilibidi ndoa iendelee walivyotoka hapo wakaenda kuzika..na ndiyo maana wakaamua misa yao ya ndoa iwe sambamba na misa ya mama yao..sijaona uzungu wowote hapo.
Kwa bahati mbaya sana vijana wa leo kila kitu mnarahisisha tu hivi toka lini msiba na ndoa vikawa pamoja? Huwezi jiuliza kwa nini mama afe siku ya ndoa? Maana yake Mungu alitaka uahirishe hiyo ndoa umzike mama yako lakini kwa ulimbukeni mtu anapeleka yote pamoja na hata aliywangisha ndoa naye ni taahira kwani kuna ulazima gani wa kufunga ndoa ilhali mama yako yuko kwenye box? Ndoa inaweza kuahirishwa kwakuwa ni ya kupanga lakini kifo hakipangiwi tarehe jiulize pia kama bi harusi angekufa bwana harusi angefunga ndoa na nani kama ilikuwa lazima siku hiyo ndoa ifungwe ?
 
Kwa bahati mbaya sana vijana wa leo kila kitu mnarahisisha tu hivi toka lini msiba na ndoa vikawa pamoja? Huwezi jiuliza kwa nini mama afe siku ya ndoa? Maana yake Mungu alitaka uahirishe hiyo ndoa umzike mama yako lakini kwa ulimbukeni mtu anapeleka yote pamoja na hata aliywangisha ndoa naye ni taahira kwani kuna ulazima gani wa kufunga ndoa ilhali mama yako yuko kwenye box? Ndoa inaweza kuahirishwa kwakuwa ni ya kupanga lakini kifo hakipangiwi tarehe jiulize pia kama bi harusi angekufa bwana harusi angefunga ndoa na nani kama ilikuwa lazima siku hiyo ndoa ifungwe ?
Ngoja waje kukujibu.
 
Back
Top Bottom