Hivi wengine wanapata wapi ujasiri wa namna hii?

Hivi wengine wanapata wapi ujasiri wa namna hii?

Mbona its OK? Ni ubunifu huo. Dunia ya sasa inahitaji wabunifu kama hao 😂
 
"Hiyo ndoa haiwezi kudumu"
Umekuwa Mungu ww?
Kudumu kwa ndoa hakutokani na aina ya harusi mnayofanyika.
Harusi ni sherehe ya siku moja. Ndoa ni mshikamano wa muda mrefu.
So wether watadumu au lah ,thats up to them na Mungu wao. Lakin harus na msiba havitohusika na ndoa huko mbeleni
MUNGU HUONGEA KWA MATUKIO SIYO KWA MAIGIZO BADO NASEMA NDOA NA MSIBA HAVITAKUJA KUWA PAMOJA KAMWE.
 
Alafu pia acheni kujaji vitu msivyovijua, what if marehemu alimwambia mwanae au aliwaambia wote kuwa ikitokea akafa kabla ya/siku ya harusi yao basi wafanye matukio yote mawili kwa wakati mmoja?

Usia uheshimiwe.
 
MUNGU HUONGEA KWA MATUKIO SIYO KWA MAIGIZO BADO NASEMA NDOA NA MSIBA HAVITAKUJA KUWA PAMOJA KAMWE.
Unamsemea Mungu? Kimekukera wewe na kukukwaza, ila wewe sio wa kuweka standard ya kipi sahihi kwa Mungu.
 
Unamsemea Mungu? Kimekukera wewe na kukukwaza, ila wewe sio wa kuweka standard ya kipi sahihi kwa Mungu.
Mkuu Mungu ametupatia akili ya kupambanua mema na mabaya na ndiyo maana hata wewe hujanitukana kwa sababu unajua kutukana ni vibaya isingekuwa hivyo hata nguo tusingekuwa tunavaa kama wanyama, lakini kwa nini tunajisitri ni kwa sababu ya akili tuliyopewa na Mungu ya kuamua kipi sahihi na kipi kibaya ndiyo ubinadamu. Kwa kukuongezea japo utakataa ulishaona wapi kwenye maandiko yoyote ya vitabu vya imani yeyote duniani Msiba na ndoa vikachanganywa pamoja? Angalia hata kwenye Guinness Book of Records kama utaona upuuzi kama huo. Au hata nyimbo za maombolezo ulishaona wapi zikaimbwa arusini? Kitu kama ni kibaya ni kibaya tu tusitafute visababu vya kuhalalisha ujinga .
 
Mkuu Mungu ametupatia akili ya kupambanua mema na mabaya na ndiyo maana hata wewe hujanitukana kwa sababu unajua kutukana ni vibaya isingekuwa hivyo hata nguo tusingekuwa tunavaa kama wanyama, lakini kwa nini tunajisitri ni kwa sababu ya akili tuliyopewa na Mungu ya kuamua kipi sahihi na kipi kibaya ndiyo ubinadamu. Kwa kukuongezea japo utakataa ulishaona wapi kwenye maandiko yoyote ya vitabu vya imani yeyote duniani Msiba na ndoa vikachanganywa pamoja? Angalia hata kwenye Guinness Book of Records kama utaona upuuzi kama huo. Au hata nyimbo za maombolezo ulishaona wapi zikaimbwa arusini? Kitu kama ni kibaya ni kibaya tu tusitafute visababu vya kuhalalisha ujinga .
Kitu kibaya kwa mtazamo wako na Imani yako. Mtu hawezi kuishi kwa akili yako. Hayo ni maamuzi Yao na wametoa sababu. Kwa ninavyoelewa hio ni ndio ya kikristu wangeweza hata kutoadhimidha ibada ya mazishi na kufanyika siku nyingine. Tupo duniani kuishi sio kuhukumu.
 
K
Kitu kibaya kwa mtazamo wako na Imani yako. Mtu hawezi kuishi kwa akili yako. Hayo ni maamuzi Yao na wametoa sababu. Kwa ninavyoelewa hio ni ndio ya kikristu wangeweza hata kutoadhimidha ibada ya mazishi na kufanyika siku nyingine. Tupo duniani kuishi sio kuhukumu.
Kwa reference gani?
 
Kumbe wakiendelea au wakiahirisha hakuna kinachoharibika kwa nini tuwalaumu kwa maamuzi yao?
Mkuu ndoa hupangiwa tarehe kifo hakipangiwi tarehe kwani angekufa mmoja wao ndoa ingeendelea tu kwakuwa ratiba yao ilikuwa hivyo? Khantwe mbona mnahalalisha mambo yasiyowezekana hata kwa shetani??? Au ulishaona wapi nyimbo za maombolezo zikaimbwa msibani na za msiba zikaimbwa harusini? Hata waliowafungisha ndoa nina mashaka na hilo kanisa na viongozi wake kwa ujumla.
 
Mlivyoambiwa hakuna linaloshindikana chini ya jua mlijua utani?

Heko kwa bibi harusi na bwana harusi.
 
Back
Top Bottom