Hivi wengine wanapata wapi ujasiri wa namna hii?

Hivi wengine wanapata wapi ujasiri wa namna hii?

Haya Mambo yakuangalia vitu kwa namna tunavyoona n sahihi kutokana na Iman na akili zetu. Kwao wameona ni sahihi n ahakuna jambo baya lolote lililotokea kwann nyie muanze kusema ni ushetani.
Akili mgando cam on think out of the box.
Pole sana huijui nafasi yako kwenye jamii laiti ungeijua usishabikia ujinga huu.
 
Ooh Ananda my dear wife the dead body never come home but they visit us through our dreams
 
Zote zinahesabika ni harusi.
Ni swala la kuufunga moyo tuu
Mkuu kwenye kamusi gani uliyosoma Msiba tafsiri yake Harusi? Au ndiyo kizazi cha .com ambacho hakiwezi kutofautisha na kuelewa Harusi ni nini na msiba ni kitu gani. MSIBA NA HARUSI KAMWE HAVIWEZI KUWA PAMOJA NA NDIYO MAANA UKIWA KWENYE MSIBA UTAIMBA NYIMBO ZA MAOMBOLEZO NA UKIWA HARUSINI HUWEZI IMBA NYIMBO ZA MSIMBA HIVYO HAYO MAMBO MAWILI HAYACHANGANYWI PAMOJA TOKA ENZI ZA KALE IWE KWA WAPAGANI, WAISLAM AU WAKRISTO
 
Mkuu kwenye kamusi gani uliyosoma Msiba tafsiri yake Harusi? Au ndiyo kizazi cha .com ambacho hakiwezi kutofautisha na kuelewa Harusi ni nini na msiba ni kitu gani. MSIBA NA HARUSI KAMWE HAVIWEZI KUWA PAMOJA NA NDIYO MAANA UKIWA KWENYE MSIBA UTAIMBA NYIMBO ZA MAOMBOLEZO NA UKIWA HARUSINI HUWEZI IMBA NYIMBO ZA MSIMBA HIVYO HAYO MAMBO MAWILI HAYACHANGANYWI PAMOJA TOKA ENZI ZA KALE IWE KWA WAPAGANI, WAISLAM AU WAKRISTO
Tena kinasema msiba ni harusi ya mwisho sasa ndio kama hivyo
 
Mungu sikuzote amejipambanua kuwa ni Mungu wa walio hai.
Na sio Mungu wa wafu.
Hivyo Mungu anaheshimu maamuzi ya binadamu waliohai.
Kama familia, viongozi wa serikali za mtaa na selikali kuu, viongozi wa dini, wamekubaliana kufanikisha ndoa na msiba kwa wakati mmoja basi jambo hilo ni jema usoni pa Mungu.

Wengi mnaona siku ya ndoa ni siku ya furaha, lakini ndoa inaweza fungwa pia siku ya huzuni na ikasherekewa kwa huzuni.
Jambo la msingi hapo ni wanandoa kutimiza jukumu lao la kuanzisha familia kama Mungu alivyo agiza.
Wanafamilia na wanandoa wameamua kuadhimisha harusi huku wakimwaga mama yao kipenzi kwamba.

" Mama umetutoka na nataka uhudhurie siku ya sherehe yangu niwe pamoja na wewe ama kiroho au kimwili, mama yangu kipenzi, nataka uungane na furaha yangu na ya mkweo "

Huo ulikuwa ni msiba wa hadhi ya juu sana kwa sisi tuliopevuka Kiroho.
What a wonderfull wedding.

Kumbukeni,
Neno la Mungu ndilo linalosimama na sio maamuzi au hisia zetu.

Mungu alitoa Mungu ametwaa Jina Lake Litukuzwe.
 
Ina maana hii ndoa wameiunganisha na mauti, au ni maelekezo?
 
Kwa bahati mbaya sana vijana wa leo kila kitu mnarahisisha tu hivi toka lini msiba na ndoa vikawa pamoja? Huwezi jiuliza kwa nini mama afe siku ya ndoa? Maana yake Mungu alitaka uahirishe hiyo ndoa umzike mama yako lakini kwa ulimbukeni mtu anapeleka yote pamoja na hata aliywangisha ndoa naye ni taahira kwani kuna ulazima gani wa kufunga ndoa ilhali mama yako yuko kwenye box? Ndoa inaweza kuahirishwa kwakuwa ni ya kupanga lakini kifo hakipangiwi tarehe jiulize pia kama bi harusi angekufa bwana harusi angefunga ndoa na nani kama ilikuwa lazima siku hiyo ndoa ifungwe ?
Hili lilifanyika baada ya majadiliano kati ya familia na uongozi wa kanisa,na si mara ya kwanza kufanyika kitu kama hicho.na bwana harusi alitaka mama yake aishuhudie ndoa yake hata kama ni mfu.
Nilikuwepo siku ya sendoff kama mgeni mualikwa,na msibani pia.
 
MKUU HUYO BHANGI ZINAMSUMBUA KAMA NI MKE WAKO MUNGU KAKUPA UKIAHIRISHA KUFUNGA NDOA NA HIVYO VYAKULA VIKATUMIKA MSIBANI NA UKAMZIKA MAMA YAKO KWA HESHIMA ZOTE UTAPUNGUKIWA NINI HATA HIVYO MSIBA NA NDOA HAVICHANGANYWI KAMWE.
Iliyofungwa ni ndoa tu ili marehemu mama yake nae awe sehemu ya kushuhudia,ila mambo ya sherehe yaliahirishwa.na walipotoka hapo safari ilianza kuelekea tarime Kwa mazishi,na walizika salama juzi jumatatu.
 
Huyu jamaa ni bonge la bahili.........maana alishapiga hesabu akaona maandalizi na vitu vyote alivyoandaa angekula hasara kubwa sana..........akaona bora iwe ivyo ivyo tu......maana msibani watu wanakula bure na kulewa pia........na harusini ni hivyo hivyo...... ndio maana gharama ingekuwa kubwa zaidi harusi ibume na watu washachanga na wabongo balaa hawana dogo ........nadhani ndicho alichokifanya
Sherehe haikufanyika,baada ya ndoa walisafiri Kwa mazishi.ni ndoa tu ndiyo ilifungwa.
 
Hapana na swali la kujua kama Jamaa zinamtosha, je angefiwa mama wa mke wake mke akasema tusifunge ndoa mpaka msiba upite angebisha? Mama kafa we unaendelea kusherekea ndoa? Inaonyesha Hana maumivu ya kufiwa na mama take lazima hata huyo mwanamke atamzarau watu walivyo wanafiki still wapo Wana m support Tu ujinga na yeye anaona Sawa laana zingine tunazitafutaga Kwa nguvu kweli assume mama wa watu anafufuka anamkuta mwanae Yuko kwenye sherehe ya ndoa

Anyway yeye sio mm
 
Inawwzekana mama wa watu kafa Kwa sababu atateseka akiwa hai baada ya kufunga ndoa (presha,shinikizo plus Vivid 19)
 
Bw harusi alisema hivi;

Najua kuna watu watanishangaa na wengine kuniona ni mpumbafu ninaepaswa kulaaniwa kwa tukio hili, lakini nataka kuwafafanulia kwamba nimefunga ndoa huku mwili wa marehemu mama yangu nao ukiwa humo humo kanisani ili mama yangu ashuhudie ndoa yangu ki roho, alinisisitiza kwa muda mrefu sana nifunge ndoa, pia nilipanga kwa siri siku hiyo ya ndoa yangu nimfanyie birthday yake bahati mbaya zaidi inakuwa death day..... Kwa nitakaokuwa nimewakwaza wanisamehe lakini mimi nimefanya lile nililoona sahihi.

Asanteni wote mliohudhuria.

Hayo ndio maneno ya bw harusi msimuhukumu bila kujua, Mc aliyeongoza sherehe ya Send off ni rafiki yangu na alinieleza yote yaliyojiri siku hiyo ukumbini
Kwa mm la msiba na harusi ni mambo mawili yasyo na ukaribu kabisa MTU anakuwaga amefiwa na ndugu hata mchango wa sherehe za wenzake hatoi Kwa maumivu na wala watu hawakudai mchango wa sherehe Leo mama yako kafa we unafanya sherehe
 
Kwa mm la msiba na harusi ni mambo mawili yasyo na ukaribu kabisa MTU anakuwaga amefiwa na ndugu hata mchango wa sherehe za wenzake hatoi Kwa maumivu na wala watu hawakudai mchango wa sherehe Leo mama yako kafa we unafanya sherehe
Sherehe haikufanyika, alifunga ndoa tu na aliafanya kile alichoona yeye kinafaa kufanyika kwa wakati huo
 
Hiyo ndoa haiwezi dumu kwa sababu Mungu alitaka waahirishe kwanza ili wamzike mama yao lakini wao wakaona kwamba hata kama mtu mzito sana kama mama akifa bado ratiba yao haiwezi kuahirishwa sijajua kama bi harusi angekufa bwana harusi angeendelea kufunga ndoa na nani? Ndoa ni jambo la kupanga kifo hakipangiwi tarehe sioni kwa namna yeyote kupeleka ndoa na msiba kwa pamoja haviendi labda kama walipanga mama mkwe afe ahapo watakuwa na ujasiri wa kuendelea na shughuli ya ndoa.
Wewe ni nani unayetoa hukumu kwa mwenzio?
Unadhani hawakuwepo washauri ?msipende kuwa Miungu mtu kutoa hukumu na laana kwa wenzenu wakati hata wewe una madhambi yako kibao
Wao wanajua ni nini walichoahidiana na mama yake ndo maana ikawa hivyo
Wahusika nawafaham,na walikuwa na sababu zao kufanya vile
 
Bw harusi alisema hivi;

Najua kuna watu watanishangaa na wengine kuniona ni mpumbafu ninaepaswa kulaaniwa kwa tukio hili, lakini nataka kuwafafanulia kwamba nimefunga ndoa huku mwili wa marehemu mama yangu nao ukiwa humo humo kanisani ili mama yangu ashuhudie ndoa yangu ki roho, alinisisitiza kwa muda mrefu sana nifunge ndoa, pia nilipanga kwa siri siku hiyo ya ndoa yangu nimfanyie birthday yake bahati mbaya zaidi inakuwa death day..... Kwa nitakaokuwa nimewakwaza wanisamehe lakini mimi nimefanya lile nililoona sahihi.

Asanteni wote mliohudhuria.

Hayo ndio maneno ya bw harusi msimuhukumu bila kujua, Mc aliyeongoza sherehe ya Send off ni rafiki yangu na alinieleza yote yaliyojiri siku hiyo ukumbini

Any fool can criticize, condemn and complain - and most fools do.
But it takes character and self-control to be understanding and forgiving.
 
Back
Top Bottom