Hivi wengine mliwezaje kusamehe usaliti?

Hivi wengine mliwezaje kusamehe usaliti?

Kitu kingine jifunze wala usirudie tena kumtafuta mwanamke ambaye unajua ni mchepuko wa mwanaume wako,,michepuko hainaga akili sawasawa dear atakwambia Maneno hadi ya uongo maana hakuna mchepuko unaopenda kuwa mchepuko so atakuumiza moyo makusudi ili umuache mwanaume amchukue yeye,,deal na mumeo mama
Hahaaaa. Umeongea kweli tupu rafiki.
 
Sijui inakulaga maharage ya wapi.

Ila huwa naamini akili zao ni zile za kwamba ha sina changu hivyo anaona ambacho itakuwa silaha kwake ni maneno machafu.
Ni kweli na kwa akili zao fupi wanahisi akishakuvuruga mke basi inakua rahisi kuachana na mumeo wangejua looh,,mwanaume haachwi sababu amechepuka
 
Time heals, kama unampenda bado unahitaji kuwa nae basi jipe muda, fanya mambo ambayo unadhani yatakupunguzia hasira na maumivu....
Kama ni kulia lia
Kama ni kununa nuna
kama ni kumsimulia mtu msimulie, upate relief.
kusamehe kupo ila kusahau ni jambo lingine.

Na kikubwa cha kujipunguzia stress na maumivu mbeleni jua kuchepuka kupo tena sana CHEATING IPO SANA YANI SANA TU ni vile hapo umemdaka ila siku nyingine hujamdaka, HIYO SIO MARA YAKE YA KWANZA WALA HAITAKUA YA MWISHO.
ishi ukijua hilo, na utachitiwa tu hata iweje kama ndio hulka yake. Kamwe usijidanganye mmeo ni malaika utaumizwa!!!!!

Lastly naskiaga "cheating is like rainfall, it rains everywhere" ukimuacha kisa cheating hata utakaowapata huko mbele watakucheat tu.
Kama ni MAN ENOUGH ana uwezo wa kuwa baba wa familia, ambae ni kichwa ila sio kichwa cha **** msamehe maisha yaendelee.
 
Hahaaaaa. Kwa kweli aiseee.

Ila kazi ipo rafiki sababu kuna wale ambao yaani sifa zao kuu ni kutamani vya watu yaani hawatakagi vya peke yao.
Na wana feel proud kudate Mme wa mtu bila heshima pumbavu,,si ndo hao wanaosemaga "ohh mmeo akichepuka jichunguze nini humtimizii ndio maana kaja kwangu"nawasikitikia kwa maana hawajui tabia za wanaume when comes to michepuko
 
Na wana feel proud kudate Mme wa mtu bila heshima pumbavu,,si ndo hao wanaosemaga "ohh mmeo akichepuka jichunguze nini humtimizii ndio maana kaja kwangu"nawasikitikia kwa maana hawajui tabia za wanaume when comes to michepuko
Hahaaaa. Tuwasikitikie tu kwa kweli na ndio kilichobakia.
 
Pole sana...

Kama bado unampenda endelea nae... yakikushinda achia ngazi...


Cc: mahondaw
 
Dada komaa nae huyo hiyo kama kakuambia mwenyewe na kakuomba msamaha maisha yaendelee kama unataka kutafuta mwanaume meaminifu ktk 1000 wapo haooooo "2"babako na kakazako"
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom