mysara2011
Member
- Sep 28, 2017
- 69
- 84
Niko na mpenzi for almost five years now na tulipanga mwishoni mwa huu mwaka tufunge ndoa.Shida imetokea baada ya kugundua anachepuka na nilipofatilia nikagundua mmoja kati ya michepuko yake aliupa mimba. Niligoma kusamehe hili la kuletewa mtoto alonikuta ukizingatia tayari ana mtoto ambaye nilimkuta but huyu nilishakubali nitamlea . Shida ni hili la sasa nashindwa kusamehe moyo unauma mno ingawa hiyo mimba ishatolewa ila nikifikiria swala la huyo dada kuwahi kulala kwa mchumba wangu ndo nakufa ganzi kabisa. Nisaidieni jamani nifanyeje kupunguza maumivu natamani kumuacha mtu wangu ila nashindwa maana nampenda mno.