Nihusike kivipi cause huyo dada alotoa mimba mi mwanzo sikujua kama ni mpenzi wa mtu wangu maana mtu wangu alinambia ni mtu ambaye wako naye kikazi na nilimpigia simu huyu dada kumuuliza baadhi ya mambo kuhusu mtu wangu na ndipo naye akinieleza na yeye ni mpenzi wake na isitoshe ana mimba yake baada ya hapo nilimbana mtu wangu alikataa katakata kuwa huyo dada hana mimba .Na nilipoamua kumtafuta huyu dada tena ili nipate uthibitisho alinijibu kuwa ameamua kutoa mimba maana hawezi zaa na mtu ambaye anaona future haipo na aliniambia kuwa mpenzi wangu atateseka sana maishani mwake skwa kuwa alimlaghai na kumdanganya kuwa sisi tulishaachana hasa hapo mi nahusikaje na hiyo mimba kutolewa?