Hivi Wazungu wana makabila?

Hivi Wazungu wana makabila?

Wazungu walishafuta hayo mnayoyaita Makabila, ni lazima uelewe Kabila ni neno la dharau na maana yake ni mtu ambaye hajatastaarabika bado, yaani hajaweza kujenga Taifa, na ndiyo maana neno Kabila hutumika Afrika Kusini kwa Sahara, native Americans, aborigines hao ndiyo Wazungu hutumia neno Kabila lkn wengine wote walishafuta!
Isitoshe Tanzania haina Makabila 120 kama mnavyoanini na hayo yote unayoyaita Makabila Tanzania yalianzishwa na Wazungu/ Waarabu kabla ya Wageni kuja kwa mfano kulikuwa hakuna Wanyamwezi, Wahaya, Wagogo, Wachaga n.k. kama tuwajuavyo leo hii!

Hivyo neno Kabila ni neno la dharau kwa Mwafrika kama vile nigger tu!
Mkuu historia uliyoitoa hapa haitakiwi kufundishwa hapa nchini hata duniani kote.

Tuanze na neno USTAARABU(KUSTAARABIKA). Enzi za ukoloni mataifa ambayo yalitawaliwa na Wafaransa yalilazishwa kutumia lugha ya kifaransa kama lugha ya taifa na wale waliofuzu kuongea kifaransa walipewa kazi na waliitwa wastaarabu(kuongea kifaransa tu tauari wewe ni mstaarabu) Je, ustaarabu ni nini?

Ukisema wazungu/waarabu ndio walioleta ukabila/makabila huku afrika. Je, wazungu/waarabu ndo walikuwa wanafundisha kiyoruba, kikuyu, kizaramo, kizulu, n.k??

Unaposema Tanzania hakuna makabila yaani hakuna wamatumbi, wakurya, wahadzabe, wahaya, wanyamwezi, n.k. Je, ustaarabu ni kukataa kila kitu hata kile kile kinachoonekana shahili dhahiri??

Pia, nimeshangaa kuona unatukuza wazungu/waarabu kama wa watu waliostaarabika halafu hapo ukasema ndio walioleta ukabila mwishoni tena unadai ukitaja kabila kwa wazungu /waarabu ni dharau sana. Je, hao wazungu walitumia njia gani kuenenza ukabila ikiwa wao ni wastaarabu??
 
Wanayo ila yanakufa from kizazi to kizazi.Sasa wanabakiza tu kusema im from Liverpool,Strasbourg n.k ila nchi zingine bado yapo kwa mfano wa Catalonia kule Spain .
 
Mwenye uelewa kutoka history anieleweshe kama wazungu wana makabila kama Tanzania tulivyo na makabila 120 or so! Na kama siyo, kwa nini hii imetokea Africa na siyo Ulaya/ Marekani/ Asia???
Neno "tribes" ni la kiingereza..... Wazungu wa London ni tofauti na WA Wales japo wote wanajiita waingereza. kuna wezi "thieves".....kuna wanga "wizards"...wanabaguana huko katalunya, wanapigana risasi hovyo huko USA majuzi mtu mzima Steve kaua makumi ya raia bila sababu
 
Mimi ni mkatoliki ninayeijuwa vizuri system ya kanisa, danganya wapumbavu wenzanko hatuna padre mjinga kama wewe.
Kwanza kwenye mfumo wa kanisa katoliki maelezo uliyoyatowa hapo utachekwa huwezi kwenda kuinjilisha huko kenge wewe,
Kwanza ulipata upadrisho lini? Na uko chini ya jimbo gani? Na je unahudumu shirika gani?


Nenda Parokia ya Itigi Singida, ukikutana na mtu yeyote muulize hivi:
"Unamfahamu Padri Mcharo"
Ukitoka hapo nenda Parokia ya Kipalapala (Tabora), then kamalizie Parokia ya Jimbo la Ngokolo Shinyanga.
Utapata Habari zangu....
 
Lakini hizo ni kama nchi tofauti tofauti zikaungana ndio maana inaitwa UK "United Kingdom" fikiria kama Tz kila mkoa unakuta kuna makabila ambayo ni wenyeji wa hiyo mikoa mfano: mbeya kuna wanyakyusa na wasafwa, Kilimanjaro kuna wapare na wachagga etc
Kwani hazikuwa na tawala zilizo kamili kabla ya kupokwa tawala zao?
 
Acha uongo wewe...
Usilazimishe kujibu swali mradi uonekane na wewe unajua, ili hali unatema pumba tu.
Kama hujui kitu kwa kimya.
Tusije tukakutemea makohozi kwa uongo wako bure!!!!
Wewe ndo mwongo, leta unacho kijua.

Tatizo lako ni jina ukabila, hujui maana yake. Ukijua maana yake utakubali kuwa wanayo makabila na mengine yametengwa kabisa ngumu kupata uongozi wa serikali.
 
Nenda Parokia ya Itigi Singida, ukikutana na mtu yeyote muulize hivi:
"Unamfahamu Padri Mcharo"
Ukitoka hapo nenda Parokia ya Kipalapala (Tabora), then kamalizie Parokia ya Jimbo la Ngokolo Shinyanga.
Utapata Habari zangu....
Jimbo la Ngokolo Shinyanga? Inaonekana unaupenda ukatoliki, nakuombea kwa Mwenyezi akuongoze kwenye tumaini la kweli ambalo unalitamani bila kujitambua.
 
Nimeishi Amsterdam (Uholanzi) miaka 7 wakati nachukua degree yangu ya Theology.
Nimepata Upadri nikaenda kuishi Cyprus miezi 3, Catalonia mwezi mmoja, Turin Italy mwaka mzima..
Sijawahi kusikia wala kuona makabila Ulaya...
Ukinipa mfano halisi nakunya hapa mbele ya duka, sokoni Kariakoo
ww kweli ni padri? padri unye hadharani? asalaleeee kumbe tutapeana mikono jehanamu [emoji91]
 
Lakini hizo ni kama nchi tofauti tofauti zikaungana ndio maana inaitwa UK "United Kingdom" fikiria kama Tz kila mkoa unakuta kuna makabila ambayo ni wenyeji wa hiyo mikoa mfano: mbeya kuna wanyakyusa na wasafwa, Kilimanjaro kuna wapare na wachagga etc
Na je? Kunatofauti ya lafudhi katuka kuongea? Mfano kwa Tz anayetoka mkoa, Kilimanjaro akiongea kiswahili unajua. Hivyo hivyo Tanga, Mwanza na mikoa mengine wana lugha zao lakini wote tunaunganishwa na kiswahili ila tunapoongea tunafamaniana tulipotoka kutokana na tofauti ya lafudhi. Vipi kwa hao jamaa nao wanatofauti ya lafudhi ktk lugha yao mama ya KIINGLISHI?
 
Miezi 7 Amsterdam, 3 Cyprus, Turin mwaka mmoja, Rosario sikumbuki miezi mingapi...
Kifupi nimezunguka zaidi ya nchi 8 mpaka namaliza Degree yangu...
Hivi unajua degree zinavyopatikana wewe achilia mbali hiyo ya theology? Halafu kwa taarifa yako mapadre hawasomi theology pekee.
 
Mpaka December mwaka huu itafika 500Billion sasa sijui ata hiyo mishahara italipwaje....[HASHTAG]#Happy[/HASHTAG] Birthday My President of all the Time Hon Jakaya Khalfan Mrisho Kikwete
Mshahara ni 236 billion tu kutoka billion 401

Uongo wake ni UPI? Kwamba hawatofautiani lafudhi au kipi? Yaan MTU akiwa London anaobgea saw a na MTU kule migomban Liverpool? Kama unabisha na hili tunakusamehe bure maana inaonekana hujawah kukutana na hawa watu
Acha uongo wewe...
Usilazimishe kujibu swali mradi uonekane na wewe unajua, ili hali unatema pumba tu.
Kama hujui kitu kwa kimya.
Tusije tukakutemea makohozi kwa uongo wako bure!!!!
 
Mwenye uelewa kutoka history anieleweshe kama wazungu wana makabila kama Tanzania tulivyo na makabila 120 or so! Na kama siyo, kwa nini hii imetokea Africa na siyo Ulaya/ Marekani/ Asia???
Kuna jamaa alinambia hicho kitu hakuna. Ukabila ulishapotea miaka mingi kutokana na muingiliano wa watu kutoka jamii tofauti. Ila kuna nyumba za kuhidhi mambo ya kale(museum), ndio wamehidhi tamaduni za makabila yote huko na historia zao.

Source. Mwana tu, so unaweza kunikosoa.
 
Wao wanamakabila ila.makabila yao kila kabila lilikua nchi kamili. Nchi moja haiwi na kabila zaidi ya moja.
Sisi tumekua na makabila mengi ndani ya nchi moja kutokana na kutawaliwa na wakoloni na wakaunganisha maeneo kwa kuzingatia rasilimali na sio makabila au tawala zilizokuwepo za asili na watu wa asili.
Kabla ya wakoloni kuchora mipaka yao ambayo haikuzingatia asili ya wahusika kila kabila lilikua ni nchi kamili yenye uongozi wake, mfano Nchi ya uhehe huko Iringa na kiongozi wao Mkwawa ilikua ni nchi kamili yenye mamlaka kamili.
Kuunganishwa huku kwa lazima ndiko huwa kunasababisha migogoro isiyoisha huku Afrika.
Hata Ulaya makabila yapo ila yenyewe yaliendelea kuwa nchi kwahiyo ni nadra kukuta nchi moja ina makabila zaidi ya moja isipokua maeneo machache sana ambayo yalikua concured na ndio yanayoleta migogoro kidogo.
Hata UK walikoungana makabila/nchi kadhaa wanashida bado ya kutaka kujitenga kila nchi ikitaka ibaki yenyewe rejea kura ya mwaka 2014 ya Scotland kutaka kujitenga kutoka UK.
Huenda makabila haya ya Ulaya yasingekua nchi yakaunganishwa hovyo kama walivyotufanyia wakoloni wasingekua na amani na mahusiano mazuri pengine kuliko hata sisi Afrika. Wamejaribu kuwa na EU lakini tayari kuna watu wanataka kujitenga.
Kwakifupi makabila Ulaya yapo ila yapo katika mfumo wa nchi nchi moja haikujengwa kwa makabila mengi kuunganishwa kwa kuwa hakuna mtu aliyewalazimisha kufanya hivyo.
 
Wazungu walishafuta hayo mnayoyaita Makabila, ni lazima uelewe Kabila ni neno la dharau na maana yake ni mtu ambaye hajatastaarabika bado, yaani hajaweza kujenga Taifa, na ndiyo maana neno Kabila hutumika Afrika Kusini kwa Sahara, native Americans, aborigines hao ndiyo Wazungu hutumia neno Kabila lkn wengine wote walishafuta!
Isitoshe Tanzania haina Makabila 120 kama mnavyoanini na hayo yote unayoyaita Makabila Tanzania yalianzishwa na Wazungu/ Waarabu kabla ya Wageni kuja kwa mfano kulikuwa hakuna Wanyamwezi, Wahaya, Wagogo, Wachaga n.k. kama tuwajuavyo leo hii!

Hivyo neno Kabila ni neno la dharau kwa Mwafrika kama vile nigger tu!
We jamaa umeongea kitu cha msingi kimtindo..! Ila ngoja nifatilie maana makabila mengi tunayoyajua hapa Tanzania ukiyafatilia asili yake unakuta sio watanzania. Hapa walihamia tu.
 
Back
Top Bottom