Padri mcharo,niah said. mataifa yanayounganisha united kingdom ni madogo kuliko mkoa wa mbeya kabla haujazaa songwe au arusha kabla haijazaa manyara kwa hiyo muelewe kuwa hizo ni kabila japo zina stutus ya taifa.
data asante kunisaidia. Makabila yapo in form of dialects.
Anyway kurudi kwa topic..
Makabila hamna ulaya..
Hata tz miaka 300 ijayo hakutakuwa na kabila labda machache sana hususani maeneo ambayo hayafikiki. Cheki dsm jinsi wazaramo wanavopotea na kuwa watanzania wa dsm! Makabila ya mkoa wa pwani yatasambaratika karibu yote miaka 300 ijayoMkuuu, ulaya makabila yalikuwepo, Ila overtime yaliendelea kupungua nguvu kutokana na utaifa...
Yaaaani mataifa ya ulaya ya umri wa mamia ya miaka na kiungo muhimu kwenye taifa ni lugha...
Angalia effect ya kiswahili tz kwa miaka 50 jinsi kilivyo unganisha watu na kupunguza ukabila, zamani kidogo ulikuwa ukisafiri mikoani unakuta more 80% ya lugha inayoongewa ni kilugha cha hapo.. Na hapo kumbuka tz 60% vijini wakati ulaya 95% ni mjini kwa zaidi ya miaka mia+ hivi.........
Aiseeh Chief Engineer umeua hapoNimeishi Amsterdam (Uholanzi) miaka 7 wakati nachukua degree yangu ya Theology.
Nimepata Upadri nikaenda kuishi Cyprus miezi 3, Catalonia mwezi mmoja, Turin Italy mwaka mzima..
Sijawahi kusikia wala kuona makabila Ulaya...
Ukinipa mfano halisi nakunya hapa mbele ya duka, sokoni Kariakoo
Mwenye uelewa kutoka history anieleweshe kama wazungu wana makabila kama Tanzania tulivyo na makabila 120 or so! Na kama siyo, kwa nini hii imetokea Africa na siyo Ulaya/ Marekani/ Asia???
poa mkuuHufai kuwa mwlm, mweleweshe
Kabila ni kundi la watu lenye uhusiano wa damu au kwa kuoana.Mkuu kama unambishia jamaa naomba unipe maana ya neno kabila.Then uniambie hivi kabla ya Berlin conference ulisikia wapi makabila tofauti yakaunda state moja.baada ya hapo naomba ukajaribu kusoma historia ya German unification au Italy unification ndo utaelewa concept ya kile jamaa alichokuwa anajaribu kuzungumza.
Wewe UK ni kubwa kuliko ulivyohadithiwaPadri mcharo,niah said. mataifa yanayounganisha united kingdom ni madogo kuliko mkoa wa mbeya kabla haujazaa songwe au arusha kabla haijazaa manyara kwa hiyo muelewe kuwa hizo ni kabila japo zina stutus ya taifa.
Labda waliuunda huu msamiati kwa ajili yetu sisi wenye hayo makabila,Sasa kama hawana makabila ni kwa nini wana msamiati wa tribe.... Ifike mahali wazungu waache kujipendekeza..
Mkuu fanya simpo math tu,Hata tz miaka 300 ijayo hakutakuwa na kabila labda machache sana hususani maeneo ambayo hayafikiki. Cheki dsm jinsi wazaramo wanavopotea na kuwa watanzania wa dsm! Makabila ya mkoa wa pwani yatasambaratika karibu yote miaka 300 ijayo
Mimi ni mkatoliki ninayeijuwa vizuri system ya kanisa,Nimeishi Amsterdam (Uholanzi) miaka 7 wakati nachukua degree yangu ya Theology.
Nimepata Upadri nikaenda kuishi Cyprus miezi 3, Catalonia mwezi mmoja, Turin Italy mwaka mzima..
Sijawahi kusikia wala kuona makabila Ulaya...
Ukinipa mfano halisi nakunya hapa mbele ya duka, sokoni Kariakoo
Hana lolote huyo usidanganyike na uhodari wa kutaype keyboard.Aiseeh Chief Engineer umeua hapo
Kuna watu wanaitwa wakalunya na wabastia huko Spain. Hao ni zaidivya Wajaluo na WakikuyuMwenye uelewa kutoka history anieleweshe kama wazungu wana makabila kama Tanzania tulivyo na makabila 120 or so! Na kama siyo, kwa nini hii imetokea Africa na siyo Ulaya/ Marekani/ Asia???
Niah, asante kwa jbu lako. Ebu angalia link hii. Nimejaribu kutafuta jibu, sijui kama liko sahihiWanayo ndiyo. Mfano UK kuna wa English, waskotish, wairish, welsh na hawa wote wana lugha zao ambazo mwingine hawezi kumuelewa mwenzie isipokua kiinglish. Na mila zao zinakuwa tofauti. Hivyo hivyo na chi nyingine ulaya ina kabila ndo maana unaona sasa hivi spain kunamgogoro wa wale wanaotaka kujitenga.
Nimeishi Amsterdam (Uholanzi) miaka 7 wakati nachukua degree yangu ya Theology.
Nimepata Upadri nikaenda kuishi Cyprus miezi 3, Catalonia mwezi mmoja, Turin Italy mwaka mzima..
Sijawahi kusikia wala kuona makabila Ulaya...
Ukinipa mfano halisi nakunya hapa mbele ya duka, sokoni Kariakoo
Padri kama unasema kweli , basi uko sahihi. Soma link hii utupe mwanga zaidi.Nimeishi Amsterdam (Uholanzi) miaka 7 wakati nachukua degree yangu ya Theology.
Nimepata Upadri nikaenda kuishi Cyprus miezi 3, Catalonia mwezi mmoja, Turin Italy mwaka mzima..
Sijawahi kusikia wala kuona makabila Ulaya...
Ukinipa mfano halisi nakunya hapa mbele ya duka, sokoni Kariakoo
Kuna Uzi uliuleta hapa kuwa una miaka 26!Nimeishi Amsterdam (Uholanzi) miaka 7 wakati nachukua degree yangu ya Theology.
Nimepata Upadri nikaenda kuishi Cyprus miezi 3, Catalonia mwezi mmoja, Turin Italy mwaka mzima..
Sijawahi kusikia wala kuona makabila Ulaya...
Ukinipa mfano halisi nakunya hapa mbele ya duka, sokoni Kariakoo