Hivi Wazungu wana makabila?

Hivi Wazungu wana makabila?

Mwenye uelewa kutoka history anieleweshe kama wazungu wana makabila kama Tanzania tulivyo na makabila 120 or so! Na kama siyo, kwa nini hii imetokea Africa na siyo Ulaya/ Marekani/ Asia???
Wanayo ndiyo. Mfano UK kuna wa English, waskotish, wairish, welsh na hawa wote wana lugha zao ambazo mwingine hawezi kumuelewa mwenzie isipokua kiinglish. Na mila zao zinakuwa tofauti. Hivyo hivyo na chi nyingine ulaya ina kabila ndo maana unaona sasa hivi spain kunamgogoro wa wale wanaotaka kujitenga.
 
Wanayo ndiyo. Mfano UK kuna wa English, waskotish, wairish, welsh na hawa wote wana lugha zao ambazo mwingine hawezi kumuelewa mwenzie isipokua kiinglish. Na mila zao zinakuwa tofauti. Hivyo hivyo na chi nyingine ulaya ina kabila ndo maana unaona sasa hivi spain kunamgogoro wa wale wanaotaka kujitenga.
Lakini hizo ni kama nchi tofauti tofauti zikaungana ndio maana inaitwa UK "United Kingdom" fikiria kama Tz kila mkoa unakuta kuna makabila ambayo ni wenyeji wa hiyo mikoa mfano: mbeya kuna wanyakyusa na wasafwa, Kilimanjaro kuna wapare na wachagga etc
 
Lakini hizo ni kama nchi tofauti tofauti zikaungana ndio maana inaitwa UK "United Kingdom" fikiria kama Tz kila mkoa unakuta kuna makabila ambayo ni wenyeji wa hiyo mikoa mfano: mbeya kuna wanyakyusa na wasafwa, Kilimanjaro kuna wapare na wachagga etc
Ukiwa London utasikia accent yao ni tofauti na mtu wa York. Mtu wa Liverpool akiongea tofauti na mtu wa Birmingham. Kuna accent nyingine kama za New Castle unaweza ukatoka kapa.
 
Makibila sidhani maana.kilugha kwao ni lugha ya Nchi nzima. Mf.kiswidishi ni lugha ya watu wa sweeden. Makabila yao yalishapotea kutokana na kuchanyika sana kuliko sisi.
 
Lakini hizo ni kama nchi tofauti tofauti zikaungana ndio maana inaitwa UK "United Kingdom" fikiria kama Tz kila mkoa unakuta kuna makabila ambayo ni wenyeji wa hiyo mikoa mfano: mbeya kuna wanyakyusa na wasafwa, Kilimanjaro kuna wapare na wachagga etc
Labda tukuulize kabila ni nini!?
 
Ukiwa London utasikia accent yao ni tofauti na mtu wa York. Mtu wa Liverpool akiongea tofauti na mtu wa Birmingham. Kuna accent nyingine kama za New Castle unaweza ukatoka kapa.
😀😀 hasa ukutane na vile vimama vinavyo elekea uzeeni
 
Wanayo ndiyo. Mfano UK kuna wa English, waskotish, wairish, welsh na hawa wote wana lugha zao ambazo mwingine hawezi kumuelewa mwenzie isipokua kiinglish. Na mila zao zinakuwa tofauti. Hivyo hivyo na chi nyingine ulaya ina kabila ndo maana unaona sasa hivi spain kunamgogoro wa wale wanaotaka kujitenga.
Kwa hapo inakuwa kama kutaja nchi na kila nchi huwa ina-lugha iliyochaguliwa kuwa lugha ya taifa hapo unapata waskotish, wairish etc mi naona mleta mada anataka kujua kama nao wapo changanyikeni kama sisi tz kuna wapogolo, wambulu, wanyiha, wazaramo etc na si kama kutaja maeneo makubwa ambayo ni nchi.
 
How funny is this...
Unaambiwa utoe mifano ya Makabila unatoa mifano ya Mataifa yalioungana kuunda UK.
Nani alikuambia States ni Tribes.
Hapo sasa unaishi huko huko. Na bado unatoa mifano ya kipumbavu.
Aiseee.. Ngoja nicheke.. He he heeee
Mkuu kama unambishia jamaa naomba unipe maana ya neno kabila.Then uniambie hivi kabla ya Berlin conference ulisikia wapi makabila tofauti yakaunda state moja.baada ya hapo naomba ukajaribu kusoma historia ya German unification au Italy unification ndo utaelewa concept ya kile jamaa alichokuwa anajaribu kuzungumza.
 
Ata waisrael tunaowachukulia kama wazungu nao wana makabila kama, Kabula LA Benjamin I, Kabila la Lawi, Manase, na mengine mengi tu
 
Back
Top Bottom