Hivi watu huwa wanajiona nani yaani?

Hivi watu huwa wanajiona nani yaani?

Yani akikuita malayer mwambie me malayer kweli nipe namba za simu za mshua ako na kaka zako wote nkuonyeshe malayer hua tunafanya kazi gani.

Kwa nini mtu akiwa Malaya au mchawi ukimuita Malaya au mchawi au Uovu anaoufanya anaona kama umemdharau? Ilhali ndivyo alivyo?
 
Nakuuliza nawaauliza unajisikiaje ukimwambia mtu yeyote Malaya au kahaba ..?

Wewe ninani ??

Unauwakika wewe umekuwa na uhusiano mmoja tokea ujue mapenzi??
Au kubalee au mpaka uoe au uolewe ??

Acheni hizo watu wazini na watu wanaliwa nakula ndio mpango mzima .


Acheni kujiona wasafi kama wewe msafi nyanyua jiwe mpige huyo kahaba basi au huyo Malaya basi eh !!!!!


Wacheni kudharauliana kila mtu ana maisha yake .

Wewe fuatq Yako na pangia watoto wako maisha na upange maisha Yako na ukoo wako ujao acha watoto wa watu na walivyokuzwa .


Malaya ni wao na wewe tengeneza kizazi Cha wasio Malaya tengeneza watakatifu ..


Kwendraaaa Mxiuu eti eti fuata Yako maisha huuwezi ingilia maisha watu wengine couze sio Yako.


Nimemaliza hii nikwenu wote
LIPIA TANGAZO dada😅
 
Waislamu ndio wana hizi tabia za kinafiki. Eti wakati wamfungo hadi malaya eti wanaacha kuzini baada ya hapo wanaendelea. Sasa hivi wamejipitishia sheria kula kiti moto hadharani ni dhambi lakini ukila umejificha si dhambi kwasababu wanayemuabudu ukila umejificha hawezi kukuona.
Mpumbavu wewe, sheria za kiislam hazija tungwa na binadamu Bali zimetelemushwa na Mwenyezi Mungu, hvyo basi hakuna marekebisho yeyote yatafanywa na mwanadamu kwenye hizi sheria zaidi ya kuzidhurumu nafsi zao tu
 
Waislamu ndio wana hizi tabia za kinafiki. Eti wakati wamfungo hadi malaya eti wanaacha kuzini baada ya hapo wanaendelea. Sasa hivi wamejipitishia sheria kula kiti moto hadharani ni dhambi lakini ukila umejificha si dhambi kwasababu wanayemuabudu ukila umejificha hawezi kukuona.
Mambo ya dini yametoka wapi tena, huwezi kuweka maoni binafsi bila kuhusisha imani za wengine. Hizo tabia za umalaya hazina dini na hamna dini iliyohalalisha hayo.
 
Ana maanisha upunguze mitombo sio kutwa x 3 kama dozi za malaria
 
  • Kicheko
Reactions: EEX
Kumbe mnakulana humu na bdae mnaitana malaya
 
Waislamu ndio wana hizi tabia za kinafiki. Eti wakati wamfungo hadi malaya eti wanaacha kuzini baada ya hapo wanaendelea. Sasa hivi wamejipitishia sheria kula kiti moto hadharani ni dhambi lakini ukila umejificha si dhambi kwasababu wanayemuabudu ukila umejificha hawezi kukuona.
Waislamu ndio wana hizi tabia za kinafiki. Eti wakati wamfungo hadi malaya eti wanaacha kuzini baada ya hapo wanaendelea. Sasa hivi wamejipitishia sheria kula kiti moto hadharani ni dhambi lakini ukila umejificha si dhambi kwasababu wanayemuabudu ukila umejificha hawezi kukuona.
kwahio kukemea Mambo maovu niunafiki? weebwege kweli unaushahidi gani kua tumepitisha sheria yakula kitimoto kwakujificha ndio hatuta patazambi? weemjuku wapapa unatatizo mahali.
 
Mpumbavu wewe, sheria za kiislam hazija tungwa na binadamu Bali zimetelemushwa na Mwenyezi Mungu, hvyo basi hakuna marekebisho yeyote yatafanywa na mwanadamu kwenye hizi sheria zaidi ya kuzidhurumu nafsi zao tu
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji16][emoji16]
Kudadeki akili hizi!!!!
 
Wnawake wanachojali ni how they're perceived by others, they dont give a shit abt reality, ht kama ana suck random dicks atataka aonekane wife material wakati she is hoeing around, ukimuita malaya atakuchukia, idiot.[emoji1787][emoji1787]
 
Hahah JF buana...

Yaani kuna muda mtu anaanzisha uzi wa kuwafokea watu wasiojukina...

Kuna mtu mtu anaanzisha uzi wa kuanza kujisifia kana kwamba anajulikana...

Kweli hiki ni kijiwe nongwa, kuna nyuzi zinatufanya tutanue mbavu na kuongeza siku za kuishi...
 
Back
Top Bottom