Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,841
- 25,359
Nakuuliza/Nawaauliza unajisikiaje ukimwambia mtu yeyote malaya au kahaba?
Wewe ni nani? Una uhakika? Wewe umekuwa na uhusiano mmoja tokea ujue mapenzi/ kubalehe/mpaka uoe au uolewe?
Acheni hizo, watu wazini na watu wanaliwa na kula, ndiyo mpango mzima. Acheni kujiona wasafi, kama wewe msafi nyanyua jiwe mpige huyo kahaba basi au huyo malaya basi eh?
Acheni kudharauliana, kila mtu ana maisha yake. Wewe fuata yako na pangia watoto wako maisha na upange maisha yako na ukoo wako ujao, acha watoto wa watu na walivyokuzwa.
Malaya ni wao na wewe tengeneza kizazi cha wasiyo malaya, tengeneza watakatifu. Kwendraa, mxiuu, eti fuata yako maisha, huwezi ingilia maisha watu wengine sababu siyo yako.
Nimemaliza, hii ni kwenu wote.
Wewe ni nani? Una uhakika? Wewe umekuwa na uhusiano mmoja tokea ujue mapenzi/ kubalehe/mpaka uoe au uolewe?
Acheni hizo, watu wazini na watu wanaliwa na kula, ndiyo mpango mzima. Acheni kujiona wasafi, kama wewe msafi nyanyua jiwe mpige huyo kahaba basi au huyo malaya basi eh?
Acheni kudharauliana, kila mtu ana maisha yake. Wewe fuata yako na pangia watoto wako maisha na upange maisha yako na ukoo wako ujao, acha watoto wa watu na walivyokuzwa.
Malaya ni wao na wewe tengeneza kizazi cha wasiyo malaya, tengeneza watakatifu. Kwendraa, mxiuu, eti fuata yako maisha, huwezi ingilia maisha watu wengine sababu siyo yako.
Nimemaliza, hii ni kwenu wote.