Kuyafanya haya yote bado hayabadilishi uhalisia ya kwamba huyo ni mwanao...
Wewe ni mwanaume na ni kichwa cha familia, kaa chini umuonye huyo mkeo ya kwamba aamue moja;
Kuishi kwa amani na 'mtoto wenu' au yeye aondoke
pole sana mkuu ila nakushauri mpeleke boarding atapata malezi better zaidi ya mkeo
ok thanks ntaongea naye ingawa nshaongea naye sanahapana kaka angu co wanawake wote tupo ivo, ni weakness za mtu binafsi, sasa ndio yawezekana ulichukua jukumu la kumleta mtoto bila kumshirikisha wazo hilo ndo maana kawa ivo ingawa cdhani kuwa ni kosa la kukoseana amani ivo ndani ya nyumba, kaa angea naye asipokuelewa tafadhari uyo mtoto mpeleke kwa bibi la sivo utaachiwa maumivu,
Kuyafanya haya yote bado hayabadilishi uhalisia ya kwamba huyo ni mwanao...
Wewe ni mwanaume na ni kichwa cha familia, kaa chini umuonye huyo mkeo ya kwamba aamue moja;
Kuishi kwa amani na 'mtoto wenu' au yeye aondoke
Na waswas na wew unaroho kama yu uyo dada....always mtoto hanaga makosa kukaa na babaake ni hak yake unavokaa vizur na mtoto wa mwenzio unajipatia baraka kutoka kwa mung
wANAWAKE NI WENGI WATOTO WACHACHE, MPIGE CHINI!
Mpeleke boarding jpo mdogo, lkn ni bora huko kuliko io harsh environment iliyopo
Nakupenda sana miss chagga coz unaongeaga point sanaa...
wANAWAKE NI WENGI WATOTO WACHACHE, MPIGE CHINI!