Hivi Wanawake wote mpo kama huyu?

Hivi Wanawake wote mpo kama huyu?

Wanawake hawawezi kabisa kuishi na mtoto ambao hawajamzaa,hata hapa watajidai kuwa hawapo hivyo na watamlaumu huyo mkeo kuwa na roho mbaya lakini ukweli ni kwamba ndivyo wote walivyo

Ukikutana na alie tofauti jua huo ni muujiza!

Pia na wanaume wapo, tupo ambao tunaweza lea kabisaa mtoto wa mume au watoto, ila mama zao hua na maneno mno
 
Wanawake hawawezi kabisa kuishi na mtoto ambao hawajamzaa,hata hapa watajidai kuwa hawapo hivyo na watamlaumu huyo mkeo kuwa na roho mbaya lakini ukweli ni kwamba ndivyo wote walivyo

Ukikutana na alie tofauti jua huo ni muujiza!

Hiyo ni kweli mkuu anaweza kufanya kitu wakamlaumu bure hata akijifanyisha ana mpenda hiyo ni daganya toto
 
Wanawake hawawezi kabisa kuishi na mtoto ambao hawajamzaa,hata hapa watajidai kuwa hawapo hivyo na watamlaumu huyo mkeo kuwa na roho mbaya lakini ukweli ni kwamba ndivyo wote walivyo

Ukikutana na alie tofauti jua huo ni muujiza!

Nadhani huna uhakika na kile unachokiongea......hivi unajua wanawake wanavyolundikiwa watoto tena wengine wamezaliwa ndoa ikiwa imefungwa tayari?
 
ukimuondoka huyo mtoto hapo basi tegemea na mengine makubwa kutoka kwa mkeo ambayo atataka uyafanye kama apendavyo yeye,kwa kuwa ulishamwambia toka mwanzo hana budi kuishi na huyo mtoto nyumba moja,atakuwa anataka akupime baki na msimamo wako wa kuishi na wanao,mwambie kama anakereka yeye ndie aondoke, au atakuwa na ujauzito mwingine labda unamvuruga coz simsomi hata kidogo
 
Huyo mkeo ana roho mbaya tu.

Mkumbushe ahadi yake na alijua una mtoto.

Je tabia za mtoto zikoje? Labda mkeo anahofia maneno maneno kutoka kwa mama mtu

Cha kufanya hakikisha mtoto anatumia muda mwingi shule....

Na anaporudi kuwe na mtu ( kama hamna dada ndio uajiri special kwa mtoto sasa)

Na mwenyewe uguatilie kwa karibu ukuaji na maendeleo ya mwanao

Mkeo muangalie kwa jicho la tatu

Ikishindikana kabisa msomeshe mtoto huko huko kwa mama yake...(mkeo mjinga kweli anatoa room ya nyie kukumbushia)
mtoto bado mdogo sana huwezi kujua tabia zake but ni mtoto mzuri tu na msikivu utundu wa kawaida sana sio ulopitiliza as a normal child
 
Dah cna uzoefu lakn naelewa huyo mkeo anavyosema moyo umekataa umekataa kweli
 
Kama nimekuelewa vizuri umesema ulivyompeleka mtoto kwa mama ulikuta mazingira sio mazuri ukaamua umlete nyumbani ndio ukamweleza mkeo!
Ulivyokuta hali hiyo kwa mama je ulimpigia mkeo mdiscuss hiyo hali ili ajue mtoto anakuja? Au ulimstukiza na mtoto kashafika?
Kama ni hivi basi hapo ndio tatizo lilipoanzia. Je mkeo ana kazi? Kaa nae chini mzungumze kwa kirefu jaribu kuwa unawanunulia wote wa3 zawadi jaribu kumsaidia kazi zake. Kuwa karibu sana na mkeo na ajue unamjali then atapenda hata damu yako. Lakini aone unakaa kochi moja na mwanao wkt yeye hukai naye then hapo unaleta uhasama.

Ni ngumu sana kuwaelewa wanawake huyo wako hana roho mbaya ni umpende na umwonyeshe kwa vitendo ili asione huyo mtoto ni competitor!

Na waswas na wew unaroho kama yu uyo dada....always mtoto hanaga makosa kukaa na babaake ni hak yake unavokaa vizur na mtoto wa mwenzio unajipatia baraka kutoka kwa mung
 
Wewe unaweza letewa bus.tard ukaishi naye kwa mapennzi yale yale kama watoto wengine..?

Ni ngumu....Apeleke huyo mtoto kwa bibi atafute msichana wa kazi alee mtoto...
mbona unaanza matusi ndugu yangu kama huna cha kuandika si ukae kimya sio lazima why are you calling names to my son? he is not bustard niite mimi hivyo mtoto hana kosa hope umenielewa
 
show her kwamba wewe ni kichwa cha nyumba na una say na power do what is right for your kid... usipay any sheeet to her she is stupid women..... alikuwa anakubali ili umweke ndani sasa kayakuta hataki... kama unashindwa kabisa mpeleke huyo mtoto boarding school na uhakikishe anapata huduma zote muhimu na wala usimsikilize huyo mkeo

Nakupenda sana miss chagga coz unaongeaga point sanaa...
 
Last edited by a moderator:
Wanawake hawawezi kabisa kuishi na mtoto ambao hawajamzaa,hata hapa watajidai kuwa hawapo hivyo na watamlaumu huyo mkeo kuwa na roho mbaya lakini ukweli ni kwamba ndivyo wote walivyo

Ukikutana na alie tofauti jua huo ni muujiza!

kwa watoto waliopatikana kwenye michepuko wakati watu wana ndoa yao tayari naweza kukubaliana na wewe,lakini kwa watoto waliopatikana kabla ya ndoa na wawili hao wakaambiana ukweli juu ya hao watoto kabla ya kufunga ndoa mara nyingi watoto hao hawateswi na mama wa kambo,na nina ushahidi wa kutosha kwenye familia yetu
 
mtoto bado mdogo sana huwezi kujua tabia zake but ni mtoto mzuri tu na msikivu utundu wa kawaida sana sio ulopitiliza as a normal child

Mwache aendelee na shuke kwa mama yake. Mkeo atamtesa mtoto. Ila kama baba jitahidi utumie muda na mwanao
 
Usimuendekeze mkeo akakukalia kichwani! Fanya unachotaka na mwanao. Ukilegea mtoto atateseka!
Tia vitasa sana mwanamke mpaka akili imkae,na fanya upelelezi wa haja ukihisi tu anaendeleaa kumnyanyasa kamata watoto wote wawili peleka kwa bibi yao alafu muishi ki bachelor.
 
Asanteni woteeeeeee jamani nitafanyia kazi ushauri wenu pale nitapoweza ,

nitakapofanikiwa nitareta mrejesho , naheshimu mawazo yenu na nimekubali mmwnishauri kwa busara sana , cheerz to all , very very thanks.
 
Mwambie huyo mkeo akiendelea kuleta kidomodomo juu ya huyo mtoto ndoa itamshinda.

Watu wengine sijui wakoje.....!!mtoto ana umri gani??
 
mama ake kaolewa na mwanaume mwingine sasa sijui kama mwanaume mwenzangu atakuwa na moyo wa kulea mtoto wa mkewe si unajua kimtazamo atasema huyu akikuwa ataenda kwa baba ye.

Mpeleke kwa bb ake....uko kwa mamaake atateseka na nyie wanaume na roho zenu bora hata ya ss wanawake mda mwingne tunakuaga na huruma
 
Kwanza hongera kwa kugundua tatizo, ni wababa wachache sana wanaogundua matatizo ya wake zao. Hapo nakupa option 2. Moja ni mtoto kulelewa na mama yake mzazi (kama yupo) and then wewe uwe unatoa matumizi muhimu. Pili ni kumlea mwenyewe na kuignore kero za mkeo. Kwa hii option ya pili make sure unakuwa karibu zaidi na mwanao na onesha hutaki masihara katika hili no matter what.
 
Mwambie huyo mkeo akiendelea kuleta kidomodomo juu ya huyo mtoto ndoa itamshinda.

Watu wengine sijui wakoje.....!!mtoto ana umri gani??
miaka mitano ndo kafunga mwezi wa sita.
 
Back
Top Bottom