ram
Platinum Member
- Oct 5, 2007
- 9,346
- 8,565
watu8, amekwambia nampenda sana mkewe, najua hawezi kuongea nae nadhani pia kunakauoga fulani hivi anako kwa mkewe lkini pia akilazimisha huyo mtoto akae hapo atakaepata shida ni mtoto, ampleke kwa mama yake na huko atafute msaidizi wa kuwamwangalia mwanae coz bibi yuko busy
Kuyafanya haya yote bado hayabadilishi uhalisia ya kwamba huyo ni mwanao...
Wewe ni mwanaume na ni kichwa cha familia, kaa chini umuonye huyo mkeo ya kwamba aamue moja;
Kuishi kwa amani na 'mtoto wenu' au yeye aondoke
Last edited by a moderator: