miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,805
- 49,109
Sio ivo tu, huchuma mboga kabisa wakati wa kutongoza huyu.
ha ha ha ha ha mimi sipo
Sio ivo tu, huchuma mboga kabisa wakati wa kutongoza huyu.
tunaanzaga hivi uncle samahani naomba kuuliza.... unasimama naomba namba yako ya simu.. mengine sijui
nipo mnadani atakaye toa dau kubwa zaidi
asante mkuuu
i will rafiki :A S wink:
"nikishapenda nagaramia" ha ha ha
Trust me Papaa
mi mwenyeji sana maeneo hay but I never purchase aisee
Hata washkaj wananishangaa
Anyway I have to admit may be me mshamba but naupenda ushamba wangu
Basi hapo ulishajitune kuwa msafi tangu mwanzo kwamba papuchi zisizoeleweka si za kuzipatapata
Eti nife kijerumani namuangalia tu jamaa huyoooo mara achukuliwe na jirani mmh hapana asee!!!
Sa nijitingishe iwe nini, mi nakuita narusha kete zangu unakula tongozo la kikeKuna kutongoza na kujitongozesha ni mambo mawili tofauti ,nionavyo ! Mfano unanipitia halafu unatembea huku unatingisa buno ,inakuwaje hapo !
Wewe ulikimbia mapemaaa
hahahaaaa endelea na zile ati uko smart...........
huwa nakimbia nikiona giza
Mahali unapoona giza kumbe hakuna giza, basi wewe ni muoga!
unaonekana domo zege ... unalamba lamba lips
kunguru mwoga ana maisha marefu
Hahaha miss chagga we acha tu mi hadi nilitungiwa jina kizege....maana masela wangu wanakasirika vinakuja vyombo vikali wao wanatolewa nje wananitaka mimi. ila ndo hivyo huwa haijirudii mara mbili