unaonekana domo zege ... unalamba lamba lipsMi nilishapigwa sound na wadada mara kibao. Mi mwenyewe enzi hizo nilikuwa nimechoka tu lakini mtoto wa kishua mmoja wakati tuko form five alikuwa kutwa kucha getho.
Mwingine chuo huyo ndo aliniita akanikalisha na kunieleza nia yake.
Kazini ndo usiseme duuuuu
Halafu miss chaga nimekupenda ghafla
Naulizia tu maana sijawahi kuona japo nasikia ,hivi wanaanzaje anzaje ? Je wewe msomaji umewahi kutongozwa na mwanamke ?
naomaba laki tano
naomaba laki tano
Naulizia tu maana sijawahi kuona japo nasikia ,hivi wanaanzaje anzaje ? Je wewe msomaji umewahi kutongozwa na mwanamke ?
Kwa siku ngapi au hiyo inatosha kukuweka ndani?
Hunyu pesa yako tu rafiki
natambua hilo,ndo maana bado nazichanga changa
naomaba laki tano
Mkuu mbona unasema ivo
Galadudu mi sijaelewa kitu kimoja.
Toka kupewa appoitment ya jumapili ukaja ukavusha story et ushakula mzigo na ukawa unashukuru.
?????? Au bastola ya jamaa ilihusika?
asante aisee nakutumia namba yangu ya mpesa uwekechukua hii 500000 bure kabisa
jichange change utafanikiwa tu
asante aisee nakutumia namba yangu ya mpesa uweke
naomaba laki tano