Asnam
JF-Expert Member
- Jan 18, 2012
- 4,256
- 2,949
ndo hvyo. Ila kiukweli neno nakupenda limeshapoteza thamani. Limekuwa la kawaida saaana.
tohoa neno jingine basi,nasikia uliongoza kitaifa somo la kiswahili:mmph:
ndo hvyo. Ila kiukweli neno nakupenda limeshapoteza thamani. Limekuwa la kawaida saaana.
tohoa neno jingine basi,nasikia uliongoza kitaifa somo la kiswahili:mmph:
I see. . .
Umeonana na binti leo, na huna uhakika kama utakutana nae tena katika harakati za maisha! Lakini unapomwambia kuwa unampenda,anakuambia Haa! Mbona mapema kuniambia hivo? Sasa nawaomba wanabodi kuna ubaya wowote kukutana na mtu siku hyo hyo ukamwambia lengo lako?
Umeonana na binti leo, na huna uhakika kama utakutana nae tena katika harakati za maisha! Lakini unapomwambia kuwa unampenda,anakuambia Haa! Mbona mapema kuniambia hivo? Sasa nawaomba wanabodi kuna ubaya wowote kukutana na mtu siku hyo hyo ukamwambia lengo lako?
ndugu ni hivi kwa sababu wewe ni begginer inabidi ufunguke tu kwamba ungependa kuonana nae cku nyingine na vitu kaa hizo..muda unavyoenda unaja mtemea madini,,tu ila uko fasta kama voda fasta banduguUmeonana na binti leo, na huna uhakika kama utakutana nae tena katika harakati za maisha! Lakini unapomwambia kuwa unampenda,anakuambia Haa! Mbona mapema kuniambia hivo? Sasa nawaomba wanabodi kuna ubaya wowote kukutana na mtu siku hyo hyo ukamwambia lengo lako?
Umri wako ni miaka mingapi kwanza, mana waweza kuwa unapewa ushauri wa kukibwa kumbe we under 18[i m 26
siku ya kwanza unamwambia lengo lako?
lengo lipi hilo ambalo lipo linaelea elea tu na ukimwona mtu tu linamuangukia?
Umri wako ni miaka mingapi kwanza, mana waweza kuwa unapewa ushauri wa kukibwa kumbe we under 18[26 years
Dooh wewe bado sana...kua uyaone kijana. Kama umepata chance ya kuongea naye at least chukua namba...mengine yatajiset. Unajua kupenda si neno ddogo...[ mwengne atakuambia hana sim, mkuu!
wewe hujui kutofautisha kati ya kupenda na kutamani.[Sidhani kama nilimtamani!
ahh basi mpotezee! si lazima kila unayekutana naye muendelee kuwasiliana. Jifunze kulet go...Dooh wewe bado sana...kua uyaone kijana. Kama umepata chance ya kuongea naye at least chukua namba...mengine yatajiset. Unajua kupenda si neno ddogo...[ mwengne atakuambia hana sim, mkuu!
Kongosho nimekutamani naomba nafasi kwenye moyo wako. Sili silali. Jibu leoleo nipe tafadhali