Hivi wanawake Tanzania wanaongoza kuchepuka?

Hivi wanawake Tanzania wanaongoza kuchepuka?

Wanaume tena wa Tanzania ni waoga sana kupita kiasi, ni aibu kuwaita wanaume, niliwaona walivyokuwa wanakimbia hovyo siku ya panya road.

Umeongea kweli wanaume wa Tanzania ni waoga sana hasa huko Dar wanakovaa vibaraghashia.
 
Smart911
Unataka kunambia hao wote waliopimwa wana ujauzito?

Leta ushahidi, wacha porojo. Kupimwa HIV ni hiyari ya mtu mpaka hii leo Tanzania hii na si lazima , na wajawazito wanajitolea kupimwa ili kama "wameukwaa" wawanusuru watoto zao.

Hivi hizo shule huwa mnakwenda kusomea ujinga?


Na siku hizi taratibu zimebadilika. Mama mjamzito lazima kupima. Na kila apelekapo mtoto clinic lazima apime HIV wote yeye na mwanaume wake.

Una uhakika gani kama mimi nimekwenda shule au sijaenda. Ila usijali sana kawaida.
 
Pia maumbile ya wanawake yanachangia jamani. Unaweza ku duu na mwanamke mwenye ukimwi usipate ukimwi kama umemwaandaa vizuri ila kwa upande wa ke ni ngumu kwani aki duu na mwanaume mwenye ukimwi asilimia 100 anapata ukimwi.

Pili wanaume ni wachepukaji sana hivyo aweza kuwa na wanawake 5 na yeye mmoja ana ukimwi. hivyo mwanaume mmoja aambukiza wanawake 5 kwa wakati mmoja.

tatu wanawake ni wengi kuliko wanaume Tanzania so ukiona hivyo usishangae sana ila mshukuru Mungu kwa maumbile mliopewa. Ukitaka kutafakari kwa undani sana Mungu amewapa vitu vingi vizuri kuliko wanawake so mnatakiwa mfurahi na kumtukuza Mungu zaidi na zaidi.

Asanteni.
 
Back
Top Bottom