Kila nikipita hapa 'love connect' nakuta posti za wanaume tu nyingi zikisema wako wapweke wanatafuta wenza/wapenzi/wake/wachumba/marafiki wa kike...hadimu sana kukuta mwanamke kaposti kutaka mwenza (labda bebii tu naye alituzeveza maana hatukupata majibu ya applications zetu!).
Sa najiuliza, hivi ni wanaume tu ndio wapweke na wenye uhitaji wa wenza? Au dada zetu mnaugulia tu kimya kimya? Tangazeni bana watu wachangamkie...
Natangaza rasmi nia.........
Kila nikipita hapa 'love connect' nakuta posti za wanaume tu nyingi zikisema wako wapweke wanatafuta wenza/wapenzi/wake/wachumba/marafiki wa kike...hadimu sana kukuta mwanamke kaposti kutaka mwenza (labda bebii tu naye alituzeveza maana hatukupata majibu ya applications zetu!).
Sa najiuliza, hivi ni wanaume tu ndio wapweke na wenye uhitaji wa wenza? Au dada zetu mnaugulia tu kimya kimya? Tangazeni bana watu wachangamkie...
Natumaini sasa hivi utakuwa umeishapokea maombi ya kutoshaNa mi natangaza sasa,njooni
<br /><font color="#800080"><font size="4"><span style="font-family: comic sans ms">Natangaza rasmi nia.........</span></font></font>
Kila nikipita hapa 'love connect' nakuta posti za wanaume tu nyingi zikisema wako wapweke wanatafuta wenza/wapenzi/wake/wachumba/marafiki wa kike...hadimu sana kukuta mwanamke kaposti kutaka mwenza (labda bebii tu naye alituzeveza maana hatukupata majibu ya applications zetu!).
Sa najiuliza, hivi ni wanaume tu ndio wapweke na wenye uhitaji wa wenza? Au dada zetu mnaugulia tu kimya kimya? Tangazeni bana watu wachangamkie...
bado sijasoma pm zenu sijapata nafasi?Kila nikipita hapa 'love connect' nakuta posti za wanaume tu nyingi zikisema wako wapweke wanatafuta wenza/wapenzi/wake/wachumba/marafiki wa kike...hadimu sana kukuta mwanamke kaposti kutaka mwenza (labda bebii tu naye alituzeveza maana hatukupata majibu ya applications zetu!).
Sa najiuliza, hivi ni wanaume tu ndio wapweke na wenye uhitaji wa wenza? Au dada zetu mnaugulia tu kimya kimya? Tangazeni bana watu wachangamkie...
kaka siku hizi utaona member wakongwe ndo hufungua ID mpya then kutangaza niamimi inanishangaza wanaotangaza wengi ni new member
je wazoefu humu hakuna mwenye upweke?lol
Natumaini sasa hivi utakuwa umeishapokea maombi ya kutosha
Anza na hiyo iliyoko hapo kwenye meza ambayo amembatanisha picha yakeDah ulijuaje?ata sijui nianze na ipi?
Anza na hiyo iliyoko hapo kwenye meza ambayo amembatanisha picha yake