Hivi wanaoshabikia CCM ni watanzania?

kaazi kwel kwel, mpk kufika 2015 2takua 2shamaliza vifungu vyote. Kazi nzuri.
 
Kwa hiyo Mwalimu Nyerere ndio alikuwa mtume wa mungu kwa CCM? halafu dini nyingi kubwa mitume yao ilishakufa maelfu ya miaka iliyopita kwa hiyo kuendelea kuziunga mkono,kuzitetea na kuzishabikia ni kumpinga mungu wa mbinguni?
 
Mungu gani unaye msema? Hujasoma biblia kwamba usihukumu usije ukahukumiwa pole sana kila mamlaka huweka na mungu hivyo ukipinga mamlaka yeyote halali unapingana na mungu, hivyo basi kwa uelewa wako mdogo unastahili kupewa maziwa yasio goshiwa!!

Mamlaka halali haiibi kura.CCM haiwezi kuwa mamlaka halali hivyo mtoa hoja hapingani na Mungu
 
Tumeambiwa tutii mamlaka iliyohalali, maana sio kila mamlaka iliwekwa na Mungu. Halafu huwezi sema bora shetani unaemfahamu kuliko usiemjua, ndugu yangu shetani ni shetani haijalishi unamjua au humjui, maana kazi yake ni kuchinja, kuua na kuharibu hiyo ndio kazi ya shetani sasa hapo ulinganifu unautoa wapi? Shida kubwa tulionayo ni kutawaliwa akili hata ovu tunaona ni sawa, jamani tutakuwa lini? ZINDUKA.
 
you are totaly cursed,if you dont beleive in GOD,wha do you believe? even those godness u trust in are suported by our almight God,CCM is truelly against wtith ten's GOD commadments.

I'm cursed?. My day

Who are you to bash someone stupid sentence. What the hell are you doing in this sinful world if your not one of them. You're in wrong place. Dude, you belong to heaven otherwise, your God is not the one in heaven.
 
Chama cha Mapinduzi mara tu baada ya kifo cha mwalimu kimekuwa mstari wa mbele kutekeleza uovu uliopindukia kwa watanzania. mathalan, CCM ni mafisadi, walinda mafisadi, dhurumati, wezi, wauaji, waongo, wazushi, wamejaa mawazo mabaya siku zote, wanafiki, wajenzi wa umasikini wa kielimu na kiuchumi kwa watanzania. Hebu fuatilia nukuu hizi za Biblia, Union Version uone jinsi CCM walivyo kinyume na Mungu wa Ibrahimu, Muumba mbingu na nchi.


  1. Mithali 12: 22 " Midomo ya uongo ni chukizo kwa BWANA;Bali watendao uaminifu ndio furaha yake" na Mithali 15:26 "Mashauri mabaya ni chukizo kwa BWANA; Bali maneno yapendezayo ni safi" Fuatilia kauli za Werema na Spika pamoja na mawaziri wote wa CCM bungeni.Ona kauli za Pinda bungeni na huko kwenye gesi huko Mtwara utabaini ninachokisema.
  2. Mithali 16:19 "Afadhali kuwa na roho ya uynyenyekevu pamoja na masikini,Kuliko kugawanya nyara pamoja na wenye kiburi" Ukiangalia vitendo vya serikali ya CCM kuhusu EPA, RICHMOND, DEEP GREEN, MEREMETA,meno ya tembo na meli za Kinana, miradi ya gesi huko mtwara, machimbo ya madini, aridhi inavyoporwa kwa wanyonge, watanzania masikini wanavyokamuliwa ili kutunisha mifuko ya mafisadi kupitia malipo ya umeme, bei za mafuta nk hutakosa kuona jinsi CCM walivyo kinyume na Mungu.
  3. Mithali 17: 15 "Yeye asemaye kwamba asiye haki ana haki; naye asemaye asemaye kwamba mwenye haki hana haki; Hao wote wawili ni chukizo kwa BWANA" Tumesikia na kushuhudia jinsi serikali hii inavyopindisha sheria zake kila pale wakubwa wanapofisidi wanyonge. Ona migogoro kati ya wakulima na wafugaji inavyoamuriwa kwa kupindisha sheria.
  4. Mafisadi na wote mliojitajilisha haraka haraka kwa fedha za maendeleo ya wananchi katika halimashauri zetuy maandiko yanasema: Mithali 13: 11 "Mali iliyopatikana kwa haraka itapunguka; Bali yeye achumaye kidogo kidogo atazidishiwa" Kuna watu walitajirika sana kupitia mashirika na makampuni ya umma mfano, Shirika la Ugawaji, Bhesco, Nafco, RTC, Usahishaji, nk. leo hii wako wapi...! mali zilipukutika wengine wamepigwa na viharusi.
  5. Mithali: 3:33 " Laana ya BWANA i katika nyumba ya waovu; Bali huibariki masikani ya mwenye haki" Laana ya BWANA iko pia katika kila chama cha waovu. Nao hawatadumu wasipo tenda haki na kurudisha utajiri wa fedha na madini ya watanzania walioiba na kuificha nje na ndani ya nchi.
  6. Watu hawa juzi walimlinganisha Kikwetre na Muyngu aliyeziumba mbingu na nchi. Ole wao!

Kuwashabikia, kuwatetea, kujiunga nao, kuwa kiongozi wa waovu hawa, wanaoona ni sawa wagonjwa wanyonge wa taifa hili kukosa huduma na madawa katika hospitali za umma kifisadi tu. Watu hawa wanyonge ambao elimu ya watoto wao imewekwa rehani kwa utajiri wa mafisadi hawa wachache HAKIKA watu hawa ni watu wampingao Mungu wa mbinguni.
sina nia mbaya kwa wasioona, lakini kuongozwa na ccm ni sawasawa na kuongozwa na kipovu wote tutadumbukia shimoni
 
Unapotetea chama chako ni vyema kuweka wazi ili ueleweke, lakini unapochafua chama kingine ili wewe upate sifa ni hatari kidogo na unaweza usieleweke
 
sidhani kama muanzisha thread uko sahihi. japo siyo mwanachama wa ccm lakini elewa kuwa sehemu kubwa ya siasa hapa nchini ni uongo. kiongozi wa nccr, chdm, cuf, tlp........ anaweza kusema uongo na kuwa fisadi. tusiwaamini wanasiasa kwa asilimia kubwa. tunawafuata lkn hawatutendei haki kwa kuwa wengi wao siyo waadilifu. siyo katika ccm pekee.
 
sidhani kama muanzisha thread uko sahihi. japo siyo mwanachama wa ccm lakini elewa kuwa sehemu kubwa ya siasa hapa nchini ni uongo. kiongozi wa nccr, chdm, cuf, tlp........ anaweza kusema uongo na kuwa fisadi. tusiwaamini wanasiasa kwa asilimia kubwa. tunawafuata lkn hawatutendei haki kwa kuwa wengi wao siyo waadilifu. siyo katika ccm pekee.

Lakini mleta uzi japo simuuingi mkono kwa asilimia zote amelinganisha na kile CCM walichokifanya au wanakifanya at collective level na akalinganisha na mithari za Biblia. Labda kosa kubwa kwake anafikiri wote tuna elimu ya Biblia na tafsiri sahii katika watu sahii, mahali sahii na wakati sahii. Hapa ndipo alipokosea maana we are not homogenous ktk ufahamu na tafsri ya maandiko. Lakini hii haiondoi ukweli wa mambo ulivyo. Hata wakati wa Yesu watu walipokuwa wanaambiwa ukweli walikuwa wanararua mavazi yao. Alipowaambiwa Wayahudi walibomoe Hekalu naye atalijenga ndani ya siku tatu wakahamaki na walivyokuwa wa ajabu Wayahudi wa zama zile na hilo neno likawa ni moja ya mashitaka ya Yesu.

Sasa kwa wasiolewa maandiko muwe wavumilivu maana huwezi kuwa kila kitu kwa wakati mmoja. Yeye kaleta maandiko nawe leta ngonjera, shahiri, nahau na mengine ili twende pamoja katika kujenga hoja. Hoja haijengwi kwa amatusi, jaziba, kiburi na mengineyo bali haya ni kipimo cha umbumbumbu
 
Tumeambiwa tutii mamlaka iliyohalali, maana sio kila mamlaka iliwekwa na Mungu. Halafu huwezi sema bora shetani unaemfahamu kuliko usiemjua, ndugu yangu shetani ni shetani haijalishi unamjua au humjui, maana kazi yake ni kuchinja, kuua na kuharibu hiyo ndio kazi ya shetani sasa hapo ulinganifu unautoa wapi? Shida kubwa tulionayo ni kutawaliwa akili hata ovu tunaona ni sawa, jamani tutakuwa lini? ZINDUKA.


Uko sahihi kabisa maana watu wanaotaka keleta maandiko kuhararisha hata yasihararishwa wanatia shaka. Mleta uzi ameorodhesha though in short yale mabaya/ maovu yaliyotokea chini ya serikali ya/za CCM. Nilitegemea baadhi ya wachangiaji wanaopinga waje na counter analysis itakayoonyesha kuwa all those vices should be blamed to CCM watupatie na nani wa kulaumiwa na kuwajibika. Badala yake wanakuja na kihoja ati kila mamlaka imetoka kwa Mungu. Jamani kwani Hitler, Musolini, na madikiteita wengine hawakuwa na mamlaka? Je, ni sahii kabisa kusema mamlaka hizo zilitoka juu? Watanzania kama tunataka wale tuliwaweka wasimamie raslimali wawajibishwe tuwe tayari kuwaambia bila kumungunya maneno. Woga na unafiki wa kutokusema ukweli ndio vimetufikisha hapa mpaka nchi yetu kiutwa shamba la bibi
 
Mungu gani unaye msema? Hujasoma biblia kwamba usihukumu usije ukahukumiwa pole sana kila mamlaka huweka na mungu hivyo ukipinga mamlaka yeyote halali unapingana na mungu, hivyo basi kwa uelewa wako mdogo unastahili kupewa maziwa yasio goshiwa!!

Utawala upi halali? Huu huu unaotokana na uchaguzi ambao hadi leo mgawanyo wa kura kimajimbo haujachapishwa?
 
Mamlaka halali inawekwa na mungu, mamlaka ya ccm iliwekwa na tiss ya ccm. Mungu hawakubali ndiyo maana wana maovu kibao, ni watawala wa laana.
 
Back
Top Bottom