Hivi wanaoshabikia CCM ni watanzania?

Hivi wanaoshabikia CCM ni watanzania?

Ni watanzania tena wengi ndugu zako,na wanahaki ya kufanya hivyo,maana sii kila chaguo lako lazima liwe chaguo la mwingine.
 
Ni Watanzania kama watanzania wengine na wanayo haki ya kikatiba kukaa chama wanachokitaka. Mabadiliko ni watu na chama chochote kile ni kama chombo cha kufikia tu. Inawezekana pia vyama vinavyotaka kuingia vikabadilika pia.
 
Kuishabikia ccm kwahitaji akili kama ya maiti/chichidodo.
 
Poa ila kumbuka kwamba chadema nayo imejaa laana kuanzia kwa mtei hadi kwa matata na shibuda ila kwa kuwa mna macho lakini hamuoni kuna siku mtaona tu, kumbuka ni heri shetani unaye mfahamu kuliko malaika nyoka kama chadema anaye tumia watoto wa maskini kuandamana wakati watoto wao wanasoma ulaya pole sana mtaandamana sana mtapigwa sana wenzenu wananeemeka!

Huu usemi wa 'ni heri shetani unaemjua'umeshapitwa na wakati siku nyingi kwa kizazi hichi.Kwa hiyo unamaana kuwa hata kama raslimali zetu zitaporwa na viongozi wa ccm basi wananchi tuendelee kuikumbatia ccm kwa sababu ni shetani tunaemjua!!!!?Ujinga huu unaueneza,huwezi kumfurahia mwizi eti sababu amekula kuku wako mzima na kukubakishia makanyagio halafu ukatoka na kumshangilia na kusema ni heri huyu!!!!.Kajipange tena,tunataka uwajibikaji katika nchi hii ni sio kingine.
 
Back
Top Bottom