Jile79
JF-Expert Member
- May 28, 2009
- 17,668
- 13,237
Huwa nashindwa kupata jibu kwa nini watu wanashabikia ccm
Kwa hali ya nchi ilivyo,
kwa jinsi rasilimali za nchi zinavyotapanywa na wachache,
Kwa jinsi Kikwete anavyowanadi mafisadi,
Kwa jinsi CCM inavyowadharau watz kwa kuwapa pilau na pombe za kienyeji na kofia na fulana kila baada ya miaka mitano,
Kwa jinsi Kikwete alivyo juu ya sheria kwa kuwasamehe wezi,
Kwa jinsi Ikulu inavyokuwa mradi wa familia ya Kikwete,
Kwa jinsi mfumo wa shule za kata unavyoleta matabaka kielimu nchini,
Kwa jinsi gharama za maisha zilivyokuwa kubwa huku kipato halisi cha mtz kikididimia,
Kwa jinsi Kikwete anavyowadharau wafanyakazi....
NI KWELI WANAOSHABIKIA CCM NI WATANZANIA?
Kwa hali ya nchi ilivyo,
kwa jinsi rasilimali za nchi zinavyotapanywa na wachache,
Kwa jinsi Kikwete anavyowanadi mafisadi,
Kwa jinsi CCM inavyowadharau watz kwa kuwapa pilau na pombe za kienyeji na kofia na fulana kila baada ya miaka mitano,
Kwa jinsi Kikwete alivyo juu ya sheria kwa kuwasamehe wezi,
Kwa jinsi Ikulu inavyokuwa mradi wa familia ya Kikwete,
Kwa jinsi mfumo wa shule za kata unavyoleta matabaka kielimu nchini,
Kwa jinsi gharama za maisha zilivyokuwa kubwa huku kipato halisi cha mtz kikididimia,
Kwa jinsi Kikwete anavyowadharau wafanyakazi....
NI KWELI WANAOSHABIKIA CCM NI WATANZANIA?