Ralphryder
JF-Expert Member
- Nov 16, 2011
- 4,933
- 1,294
- Thread starter
- #41
Umetoka wapi wewe leo?
Baba V nisaidie! pakaJimmy ananinyanyapaa!
Umetoka wapi wewe leo?
Mwambie huyo.
Wee nawee!
Unatuona sie vichwapanzi eti? Hapa kwenye uzi huu hauna chochote kilichokuleta, zaidi ya kukurupuka ulipoona hilo neno @poo !
Danganya wasokujua!
JF ina wenyewe na wenyewe ndio hao!!
Wee nawee!
Unatuona sie vichwapanzi eti? Hapa kwenye uzi huu hauna chochote kilichokuleta, zaidi ya kukurupuka ulipoona hilo neno @poo !
Danganya wasokujua!
Ee phewwww! Judgement umenisaidia! sasa at least napumua!
Hata wewe Madame B,unanifanyia hivyo?! ok Mungu yupo!
kwa hiyo umefurahia alivyochemka mwenzio? Yaani kuanzia sasa hivi ukiniona toka nduki kabla sijaanza na wewe. Ushanfahamu?
wewe unanijua ama unanifahamu? Kwani Poo ni jina la nani? Wewe ndo unakurupuka sasa. Mie kuku wangu simuwindi na manati. Wivu tu, lione. Asipendwe mwanaume mwenzio!