Hivi walimu ni wajinga au wapumbavu?

Hivi walimu ni wajinga au wapumbavu?

mwl. mziray

Tunaomba mfumo wa kenya!ukoje ila hata hivyo hongera ka historia fupi
 
Last edited by a moderator:
Mkuu, I hope Una ushauri mzuri,unashauri wafanye nini ili wasiwe wapumbavu? Toa procedures za kuchukua
 
Mkuu I hope Una ushauri mzuri,unashauri wafanye nini ili wasiwe wapumbavu? Toa procedures za kuchukua

Mi nahisi wanahitaji kujitambua kwamba wao ni nani?
na hilo watafikia kwa kujifunza na kufahamu katiba ya chama chao cha walimu ambapo naamini zaidi ya walimu asilimia tisini hawaijui
Pili wafahamu kanuni za utumishi kitu ambacho kitawapelekea kujiamini,
Si ajabu kukuta mwalimu anatumia mshahara wake kununua chaki au kukuta mwalimu anafundisha masomo tisa bila kujali professional na hukaguliwa kwayo na na pengine ukaguzi ukabaini amefundisha chini ya kiwango na hakuna skel rasmi kwamba ni masomo mangapi
 
Nimebaini kuwa walimu wengi wanakerwa sana na CWT, ndio maana zipo juhudi za makusudi kuivunja, hivi karibuni kumekuwa na wimbi la baadhi yao kutaka kujitenga na kuanzisha chama chao kingine kitakachokuwa na makato yasiyozidi 1% na katiba isiyokuwa na unyonyaji kama wa CWT!
 
Umeongea vizuri mwerevu ila wapumbavu kama mie huoenda kuona japo vi data viwili vitatu ili kuona uhalisia kwa picha. . . .

1. Mtu akishaanza kutaja political will ni sawa na kisema majaaliwa ya Mungu. . . . Una hoja gani juu ya hili?!!
2. Economic ability sawa. . . . .Je hiyo ability kwa projection yako/yenu itakuwa tayati baada ya muda gani kuweza kuhudumia hao wahitaji??!!!
3. Rambirambi, zawadi na dharura havihitaji chama na michango ya kila mwezi huku mitaani wapumbavu sie tunazika, tunapeana zawadi, na.tunauguzana na hatuna chama wala jengo. . . . .Hebu nitoe upumbavu kwa asilimia ya michango inayoenda kwenye zawadi, rambirambi na dharura ewe mwerevu. . . . .

nyongeza....

Na HIYO ECONOMIC ABILITY inabagua? mbona kuna watu wanalipwa mishahara ya kufuru kuliko wengine au wao "economic ability" yao inaruhusu walipwe vzr huku wengine wakitaabika? imagine mbunge analipwa mil. 230 baada ya miaka 5 wakati mwalimu analipwa mil. 15 baada ya miaka 40!
 
Nimebaini kuwa walimu wengi wanakerwa sana na CWT, ndio maana zipo juhudi za makusudi kuivunja, hivi karibuni kumekuwa na wimbi la baadhi yao kutaka kujitenga na kuanzisha chama chao kingine kitakachokuwa na makato yasiyozidi 1% na katiba isiyokuwa na unyonyaji kama wa CWT!

yeah! hiki ndio chama sasa, na kianzishwe haraka ili kiwakomboe walimu dhidi ya unyonyaji wa CWT.
 
Mi nahisi wanahitaji kujitambua kwamba wao ni nani?na hilo watafikia kwa kujifunza na kufahamu katiba ya chama chao cha walimu ambapo naamini zaidi ya walimu asilimia tisini hawaijuiPili wafahamu kanuni za utumishi kitu ambacho kitawapelekea kujiamini,Si ajabu kukuta mwalimu anatumia mshahara wake kununua chaki au kukuta mwalimu anafundisha masomo tisa bila kujali professional na hukaguliwa kwayo na na pengine ukaguzi ukabaini amefundisha chini ya kiwango na hakuna skel rasmi kwamba ni masomo mangapi
Dah Sidhani kama huu ushauri una msada sana kwa sababu kuna baadhi ya mambo uliyoyasema hapo wanayajua na wanayafanyia kazi.Kwa kadiri ya post yako ya kwanza nadhani kuna kitu unataka wafanye lkn hata wewe hukijui hicho kitu ni kipi
 
"Mjinga hujifunza mpumbavu hubisha "
Katika nchi yetu ya Tanzania kundi kubwa la wafanya kazi ni walimu, lakini kwa maoni yangu ni kundi ambalo halijitambui kabisa na ni kinyume na lilivyotarajiwa.

Kero kubwa kwa walimu sio serikali bali ni chama chao kinachiotwa (CWT) ambacho kipo kwa ajili ya kuwaplease walimu pale wanapokuwa na lengo la kudai maslahi yao kwa Serikali.

Na chama hiki kimewafanya walimu kama mazombi na mtaji wa maisha ya wachache wanaojiita CWT, na hata hivyo uzombi huo wa walimu unadhihirika siku hadi siku.

Kwani wapo walimu hawajui hata ofisi ya CWT katika wilaya zao na hata kazi ya chama katika maisha yake ya kazi lakini anakatwa mchango wa CWT,

Je, walimu ni wajinga au wapumbavu?

Umefanya jambo gani kuwasaidia hao walimu unaowaita wajinga au wapumbavu ili watatue hayo matatizo yanayofanya uwaone wajinga au wapumbavu?. Au ndio unazidi kuwapelekea watoto wako, wadogo zako na ndugu zako nk wawafundishe wakati unawadharau kuwa walimu ni wajinga na wapumbavu?

Wamekufundisha ukajua kusoma na kuandika na kuchangia JF halafu unawatukana wajinga au wapumbavu. Ungeonekana mwerevu kama ungejiongeza zaidi yaani badala ya kuwatukana uwape ushauri au suluhisho wafanye nini kutatua matatizo waliyo nayo.
 
"Mjinga hujifunza mpumbavu hubisha "
Katika nchi yetu ya Tanzania kundi kubwa la wafanya kazi ni walimu, lakini kwa maoni yangu ni kundi ambalo halijitambui kabisa na ni kinyume na lilivyotarajiwa.

Kero kubwa kwa walimu sio serikali bali ni chama chao kinachiotwa (CWT) ambacho kipo kwa ajili ya kuwaplease walimu pale wanapokuwa na lengo la kudai maslahi yao kwa Serikali.

Na chama hiki kimewafanya walimu kama mazombi na mtaji wa maisha ya wachache wanaojiita CWT, na hata hivyo uzombi huo wa walimu unadhihirika siku hadi siku.

Kwani wapo walimu hawajui hata ofisi ya CWT katika wilaya zao na hata kazi ya chama katika maisha yake ya kazi lakini anakatwa mchango wa CWT,

Je, walimu ni wajinga au wapumbavu?
Waalimu wakiwa wajinga au wapumbavu, je wanaowafundisha watakuaje (wewe)? Unataka kuwatumia waalimu kwa maslai yako binafsi ya kisiasa! Umenoa jipange tena maana hamna namna nyongine.
 
Sio walimu tu wabongo 85% ni mazombi hata wadhurumiwe na kuteswa kiaje bado hawabadiliki je mapolice mbona huwasemi mshahara wao mbuz lakini wakutumwa kapgeni wale wameandamana kudai haki zao yanakurupuka kupiga ila walimu naona wamezidi kutojielewa
 
Wewe ni nani kwanza hata ufatilie mambo ya wengine? aka walimu & had uwaite wajinga. ulikuwa hujui kusoma ww sasa unafahamu ndo unawalipa walimu wako kwa matusi? respect kwa walimu kwa kujitoa kwao. we'r all your products.

Ukweli ni kama sindano. Hakuna ubishi walimu wa Tanzania wanapaswa wajiulize kama kweli hawana moja ya hizo sifa tajwa. Ukiacha hilo walimu hulalama kilà mwaka kuwa serikali haiwalipi haki zao lakini mwisho wa siku kwa njaa zao au sijui nini ndiyo wanatumika sana kuibeba serikali wakati wa uchaguzi kuanzia kuandikisha wapiga kura, wakàti wa upigaji kura na hata kushiriki katika kampeni kupitia wanafunzi kuhakikisha kuwa serikali hiyohiyo inashinda¡Kwa mantiki hiyo wanajitambua kweli?
 
Walimu wa nchi hii ni wapumbavu sana

Mkuu, mke wangu ameanza kukatwa kwenye chama hiki na hajajaza fomu yoyote yupo kwenye ajira miaka 3 na ameanza kukatwa mwaka huu.

Kwa hiyo upumbavu wa mkeo ndio unakufanya utukane walimu wote?????????????

Siku zote nakuonaga una kauli za shombo sana dhidi ya walimu wewe kaka, namuonea huruma mkeo kwa kweli.
 
Kwa hiyo upumbavu wa mkeo ndio unakufanya utukane walimu wote?????????????

Siku zote nakuonaga una kauli za shombo sana dhidi ya walimu wewe kaka, namuonea huruma mkeo kwa kweli.

mkuu acha kabisa watu wanadharau kaz za watu humu wakat wengi wa wanaotoa dharau hizo wengi wao n kula kulala tu.

Ndio hao wanakaa na kufikir serikali ndio itakayowapa hela, chakula n.k bila hata ya kujishughulisha..
 
mkuu acha kabisa watu wanadharau kaz za watu humu wakat wengi wa wanaotoa dharau hizo wengi wao n kula kulala tu.

Ndio hao wanakaa na kufikir serikali ndio itakayowapa hela, chakula n.k bila hata ya kujishughulisha..

Hapa kunawatu tukisema wathibitishe kazi zao wanaweza kuhama jf ila kudharau kazi za watu ndio midomo juu kama chuchunge.

Kama walimu wenyewe wameridhika wao wanakerwa na nin???
 
Umefanya jambo gani kuwasaidia hao walimu unaowaita wajinga au wapumbavu ili watatue hayo matatizo yanayofanya uwaone wajinga au wapumbavu?. Au ndio unazidi kuwapelekea watoto wako, wadogo zako na ndugu zako nk wawafundishe wakati unawadharau kuwa walimu ni wajinga na wapumbavu?

Wamekufundisha ukajua kusoma na kuandika na kuchangia JF halafu unawatukana wajinga au wapumbavu. Ungeonekana mwerevu kama ungejiongeza zaidi yaani badala ya kuwatukana uwape ushauri au suluhisho wafanye nini kutatua matatizo waliyo nayo.

Unaweza ukafundishwa na mpumbavu na ukawa mwerevu na hii ni kitu ya kawaida kabisa kwani kazi ya mwalimu ni kujenga base tu ila maarifa huwa yanapatikana kulingana na mazingira tulionayo

Mfano mitaala yetu haifundishi staudy za kopyuta hadi ufike elimu ya vyuo lakini tunajua kopyuta na alichosaidia mwalimu ni kutufundisha kusoma na kuandika tu tena kwa kalamu
 
Hapa kunawatu tukisema wathibitishe kazi zao wanaweza kuhama jf ila kudharau kazi za watu ndio midomo juu kama chuchunge.

Kama walimu wenyewe wameridhika wao wanakerwa na nin???

si ndo hapo? Kama mwlm anashida mwache na shida zake yeye kakubaliana na hali halisi..

Wengi wanaropoka humu lakn kumbe wanalishwa na mashemeji zao lakn wakikaa nyuma ya keyboard dharau zmewajaa.
 
Back
Top Bottom