NAGAMAHONGA
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 12,322
- 10,915
Yote mawili ni sawa.
Siku hz hatufundishi, wakaguzi wakinibana CWT wanakuja kunitetea na kwa sababu CWT ni tawi la CCM na mgao wanapiga pamoja, wanamaliza kishikaji, mimi narudi kuendelea kula mshahara wa bure na watoto wako wanaendelea kugonga zero, harafu nakushangaa wewe unayetaka nikomalie 12000
"Mjinga hujifunza mpumbavu hubisha "
Katika nchi yetu ya Tanzania kundi kubwa la wafanya kazi ni walimu, lakini kwa maoni yangu ni kundi ambalo halijitambui kabisa na ni kinyume na lilivyotarajiwa.
Kero kubwa kwa walimu sio serikali bali ni chama chao kinachiotwa (CWT) ambacho kipo kwa ajili ya kuwaplease walimu pale wanapokuwa na lengo la kudai maslahi yao kwa Serikali.
Na chama hiki kimewafanya walimu kama mazombi na mtaji wa maisha ya wachache wanaojiita CWT, na hata hivyo uzombi huo wa walimu unadhihirika siku hadi siku.
Kwani wapo walimu hawajui hata ofisi ya CWT katika wilaya zao na hata kazi ya chama katika maisha yake ya kazi lakini anakatwa mchango wa CWT,
Je, walimu ni wajinga au wapumbavu?
"Mjinga hujifunza mpumbavu hubisha "
Katika nchi yetu ya Tanzania kundi kubwa la wafanya kazi ni walimu, lakini kwa maoni yangu ni kundi ambalo halijitambui kabisa na ni kinyume na lilivyotarajiwa.
Kero kubwa kwa walimu sio serikali bali ni chama chao kinachiotwa (CWT) ambacho kipo kwa ajili ya kuwaplease walimu pale wanapokuwa na lengo la kudai maslahi yao kwa Serikali.
Na chama hiki kimewafanya walimu kama mazombi na mtaji wa maisha ya wachache wanaojiita CWT, na hata hivyo uzombi huo wa walimu unadhihirika siku hadi siku.
Kwani wapo walimu hawajui hata ofisi ya CWT katika wilaya zao na hata kazi ya chama katika maisha yake ya kazi lakini anakatwa mchango wa CWT,
Je, walimu ni wajinga au wapumbavu?
mawazo mgando!Sio.kila anaejenga base ni mwelewa licha ya kazi anayofanya mwalimu bado mwenyewe hajapanga mipango ya kujikomboa mwenyewe
si ndo hapo? Kama mwlm anashida mwache na shida zake yeye kakubaliana na hali halisi..
Wengi wanaropoka humu lakn kumbe wanalishwa na mashemeji zao lakn wakikaa nyuma ya keyboard dharau zmewajaa.
"Mjinga hujifunza mpumbavu hubisha "
Katika nchi yetu ya Tanzania kundi kubwa la wafanya kazi ni walimu, lakini kwa maoni yangu ni kundi ambalo halijitambui kabisa na ni kinyume na lilivyotarajiwa.
Kero kubwa kwa walimu sio serikali bali ni chama chao kinachiotwa (CWT) ambacho kipo kwa ajili ya kuwaplease walimu pale wanapokuwa na lengo la kudai maslahi yao kwa Serikali.
Na chama hiki kimewafanya walimu kama mazombi na mtaji wa maisha ya wachache wanaojiita CWT, na hata hivyo uzombi huo wa walimu unadhihirika siku hadi siku.
Kwani wapo walimu hawajui hata ofisi ya CWT katika wilaya zao na hata kazi ya chama katika maisha yake ya kazi lakini anakatwa mchango wa CWT,
Je, walimu ni wajinga au wapumbavu?
Mim nimeshuhudia mwl aliletewa fitina na mkurugenzi akataka kufukuzwa kazi CWT ilimsaidia
Cwt ni zaidi ya chama tawala. Hawana huruma hata kidogo.
Sidhani kama unawaheshimu hata wazazi wako wewe!"Mjinga hujifunza mpumbavu hubisha "
Katika nchi yetu ya Tanzania kundi kubwa la wafanya kazi ni walimu, lakini kwa maoni yangu ni kundi ambalo halijitambui kabisa na ni kinyume na lilivyotarajiwa.
Kero kubwa kwa walimu sio serikali bali ni chama chao kinachiotwa (CWT) ambacho kipo kwa ajili ya kuwaplease walimu pale wanapokuwa na lengo la kudai maslahi yao kwa Serikali.
Na chama hiki kimewafanya walimu kama mazombi na mtaji wa maisha ya wachache wanaojiita CWT, na hata hivyo uzombi huo wa walimu unadhihirika siku hadi siku.
Kwani wapo walimu hawajui hata ofisi ya CWT katika wilaya zao na hata kazi ya chama katika maisha yake ya kazi lakini anakatwa mchango wa CWT,
Je, walimu ni wajinga au wapumbavu?
Shangaa na wewe! wengi wanao watukana walimu hawana kazi stress za kukosa kazi!