Hivi walimu ni wajinga au wapumbavu?

Hivi walimu ni wajinga au wapumbavu?

Mtoa mada naomb nikuambie jambo kwamba kama kwel ni mcha Mungu waombe radh walimu kwa kuwa hizo lugha mbil ulzotumia si za kiungwana. usimdharau mwinzako kwa kaz anayofanya tunaish kwa kutegemeana kwa kila idara pale unapoona kuna mapungufu katika idara ya mwenzako una nafasi ya kushauri na si kutumia lugha mbovu kiasi hcho kwan hata Mungu sidhan kama inampendeza. mwenzako anatoa sadaka yake kwa kazi anayofanya kwa nini umtukane?


Wewe unafikiri kazi gan iliyo bora hapa Tanzania? Then utambue USIACHE MBACHAO KWA MSALA UPITAO. Kwa kwel lugha uliyotumia ni ya kukatisha tamaa lakini okay nakubaliana na falsafa inayozungumzia kwamba "hakuna kweli moja"
Mimi nikimsaidia kufikiri, kazi iliyo bora hapa Tanzania ni UBUNGE
 
hayo mambo ya cwt ww umeyajuaje? acha ubweeege kitu usichokifahamu kinakukwaza nn umeongea pumba mwanzo mwisho bila hata kuonesha hoja yako ni ipi bila shaka ww ndio mjiinga na mpuumbavu usiejitambua.
Pole sana kwa kuwaza kutumia makalio
 
Adui muombee njaa. Ukitaka mtumishi wako akili isifikirie mbali mfanye kila siku awaze atakula nini, atavaa nini, atalala wapi? Kwa kipato cha walimu, hasa kwa kuwa muda wote hadi usiku wapo kazini, lazima wawe kama unavyowaona
 
Kama umelijua hilo uko vizur ni afadhari uwasaidie kudai. mkuu suala la utambuz wa katka maisha yaliyosimamiwa na mfumo mbovu siyo suala rahis kama unavyodhani. Walimu wanaokaribia kustafu wanaogopa kusema maana watapoteza Mafao yao, wanaoanza kaz ndyo kwaanz wanataman kaz. sasa ktk hali kama hii utamshawish nana? Hata mfumo wa nchi yetu chini ya CCM mbona haufai, ni wananchi wangapi ukiwemo na wewe mmeamua kusema sasa bas tunataka mabadililo? Je tukuite mbulula kwa sababu unaish ktk nchi yenye ufisadi na wananchi maskini? Tafadhari kama huwezi kumsaidia mtu usiumie na Maisha yake.
 
Back
Top Bottom