Wakati nimemaliza kidato cha sita,nikiwa natafakari naangalia nikasomee nini cha kuisaidia jamii! Kuna Mwalimu mmoja aliniambia "kijana wangu ukiamua kua mwalimu maisha yako yote yatakua ni kuvaa suti moja tu na tai kila siku,kusubiria mshahara kwa ajili ya kulipa madeni,utazaa watoto wako wanne na kujenga kijumba kimoja cha vyumba vitatu basi na usubirie hela ya kustaafu" Mpaka leo sijafanikiwa kuipata vizuri kauli ya mwalimu huyo aliyekua amebakiwa na miaka 5 kustaafu alimaanisha nini.
Walimu wa nchi hii ni wapumbavu sana
To generalize is to be an idiot.
Wameonewa nn lete suluisho, mnafikiri hilo jitu jingine linalokuja halitakuwa na makato heeee? Baada ya kuona mnataka kuazisha bank sirikali imeona mtakuwa na nguvu sasa inataka kuwagawa ili mnyonywe vizuri, mkiua cwt mjue mmekwisha, sirikali haitaki trade union yenye nguvu kama yenu.
inawezekana una lengo zuri sana la kueleza kile kinachokukera au kutaka kujua kile usichofahamu na pia inawezakana hata unachotaka kukieleza kimekupotea. labda naomb nikuulize swali moja;je,unafahamu matatizo ya walimu? au kwa mtazamo wako walimu wanamatatizo gan kadr ya hsia zako?
Kwa kifupi: sio wajinga wala si wapumbavu.
Tatizo ni la kimfumo (systemic problem dues to issues inherent in the overall system...)