Mkuu unapo katwa malipo fulani katika mshahara pasipo kuwa na faida nayo ni hasara hiyo. Sema tu jamaa katumia lugha chafu hasa neno mpumbavu. Ila ujumbe wake ulikuwa na mantiki. Hamna mwalimu hata mmoja anayeitaka hiyo CWT labda wale wanaofanya kazi kwenye hiyo taasisi na kunufaika nayoKama wewe si mwalimu makato yangu yanakuhusu nini?
je nimekuja kwako kuomba msaada baada ya kulemewa na makato?
wewe chama chako kimewasaidia nini watanzania?
Nilipanga kukuporomoshea matusi hapa LAKINI haiba ya ualimu inanizuia.
CWT ni chama cha kinyonyaji, itashangaza sana kumuamuru kupe anayeishi kwa kunyonya damu aache kufanya hivyo...katu hawezi, atakufa!
Mleta maada katumia maneno makali Lakin yupo sahihi sana hiki chama kinakusanya a lot of millions but in return ni majanga faida kubwa ya ualimu ni kwamba unapata ajira bila kusotea yaan after college ajira hyo tofaut na kada zingine ad utume maombi then interview inakuja ila ki ukwel ualimu ni shida ila jipen moyo siku moja mtafurahia kaz yenu
Usi panic bro. . . . . .je ww hukatwi na chama chako cha wafanyakazi? na kama unakatwa wamefanya nin hao viongoz wa chama chako mtu ambaye ni mfanyakaz wa umma anapochangia mada hii kwanza atuambia hakatwi na chama chake?
Mwalimu KAIJAGE alishakimbia jukwaa hili maskini, utajibiwa na nani?