establishment
JF-Expert Member
- Jun 27, 2015
- 1,632
- 2,451
Nilioa sehemu inauitwa Bashnet nikaja nae Dar akakutana na jamaa wa kwao wakalianzisha nikisafiri jamaa anakuja home siku nikawabamba baa jirani akadai no binamu yakeilikuaje mzee![]()
Nilioa sehemu inauitwa Bashnet nikaja nae Dar akakutana na jamaa wa kwao wakalianzisha nikisafiri jamaa anakuja home siku nikawabamba baa jirani akadai no binamu yakeilikuaje mzee![]()
Wambulu=wairaqutofauti wake ni mdogo sana.
Ni kama wajita na wazanaki au ni kama wahaya na wahangaza au ni kama wazaramo na wakwele.
SayuuSaitaaa
Mkuu tupe kisa na mkasaMimi nilikua kati ya Watu wabishi sana nilikua nawatetea sana hawa Wairaqw kwasababu nilikua nataka kuo huko Haydom..
Yaliyonikuta daaaah.. sina hamu tena ni Leo hii uchumba umeisha rasmi Leo .
Mkuu tupe kisa na mkasa
Tupe habari kisa mkasaMimi nilikua kati ya Watu wabishi sana nilikua nawatetea sana hawa Wairaqw kwasababu nilikua nataka kuo huko Haydom..
Yaliyonikuta daaaah.. sina hamu tena ni Leo hii uchumba umeisha rasmi Leo .
Do for your own risk!
Kuna makabila hua wanawezana wao kwa wao tu mm nimeishi nao sana wewe Kama sio mmbulu uko kwao wanakuita omoo!
bora uuziwe mbuzi kwenye gunia kulko kuuziwa gunia ambalo halina mbuzi hawaolek aoPole sana mkuu,ndio maana nikaja huku kuulizwa nisije uziwa mbuzi kwenye gunia
Nilipata kuonana nao singida kwa wingi na Arushabora uuziwe mbuzi kwenye gunia kulko kuuziwa gunia ambalo halina mbuzi hawaolek ao
😍😍Haya mambo magumu sana, naona watu full kuhukumu kabila zima kwa mapungufu ya wachache
Wana michezo hiyo Sana. Mu-Iraq hana hiyana. Japo siku hizi kuna ulokole mwingi kule TAG Wana makanisa ya kutoshaNilioa sehemu inauitwa Bashnet nikaja nae Dar akakutana na jamaa wa kwao wakalianzisha nikisafiri jamaa anakuja home siku nikawabamba baa jirani akadai no binamu yake
Hapana wambulu wameanza kutoka maeneo ya kwao miaka ya hii tu tena ni kwa kwenda chuo, na kuajiriwa lakin c watu wakutembea hata dar kuwapata ni ngum tofaut na wanawake wa makabila mengneAsilimia kubwa wanapenda kuuza baa