Hivi wairaq wapoje kitabia?

Hivi wairaq wapoje kitabia?

Status
Not open for further replies.
pil ukioa hawa hata kama unapesa kias gan na mtaan kukawa na muuza bucha au kinyozi wa kutoka uko kwao lazma ampe yan wao kwa wao uwaambii ktu hata utombee mwiko bado ataliwa tu nje
 
Si kweli... Ni mawazo ya walio wengi... Na hii imetokana na uzuri wao,, wengi wamekua wakichukuliwa na kupelekwa mijini kuwa wafanyakazi wa ndani na barmaid's, ugumu wa maisha na familia walizotoka hujikuta wameingia katika mtego huo.. na mwiraq hafichiki utamgundua tuu kimwonekano.. lakini kiuhalisia sio tabia ya watu wa kule...
 
Nilioa sehemu inauitwa Bashnet nikaja nae Dar akakutana na jamaa wa kwao wakalianzisha nikisafiri jamaa anakuja home siku nikawabamba baa jirani akadai no binamu yake
Wana michezo hiyo Sana. Mu-Iraq hana hiyana. Japo siku hizi kuna ulokole mwingi kule TAG Wana makanisa ya kutosha
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom