Hivi wairaq wapoje kitabia?

Hivi wairaq wapoje kitabia?

Status
Not open for further replies.
Acha nikupe kisa kimoja kinachonihusu.

Mwaka fulani nilipata field uko hydom, kiukweli nilista ajabu kuona uzuri wa wasichana wa kule, nikajikuta nimeshaingia kwenye mapenzi na binti wa kimbulu(alikua mwajiliwa). Mapenzi yakawa motomoto(nikajikuta marioo). Nitake nini mwanaume nisipate, out za kila mara, nikaona hapa naoa.

Mwanamke mpole, mnyenyekevu, mkarimu, nilijiona mbabe kweli.

Baada ya miaka miwili mwanamke akaanza kulazimisha sana ndoa, akadai kama sina hela yeye atagharamikia kila kitu hili mradi nimuoe, nikaona hii siiwezi. Nikamwambia asubiri kidogo.

Aisee kumbe demu ni demu wa masela, wanaoniita shemeji ndiyo mabwana zake.

Kisa ni kirefu hila hawa hawajui kukataa, ukioa jua na jirani yako atakula tu.

Nakupa task nenda uko ukweni, jaribu kumtongoza rafiki/mdogo mtu/dada mtu/ au mke wa mtu, ukikataliwa basi oa

Sent from my 5023F using JamiiForums mobile app
😛😛😛😳
 
Naskia tu kuwa wako njema..ni kama watoto wa kitanga au ni kwamba wanapenda tu kugegedana?
Utachoka wewe tu mkuu...na akikupa anakupa full package hawana hiyana kwakweli,Ila kumpata wa peke ako omba Sana Mungu.
 
Daa kumbe,,,nachoshangaa huyu duu kila muda ananiita"baba yangu" sijui ana maana gani?
Mtu asikudanganye kuhusu tabia ya kabila fulani, hayo mambo yameshapita, tutandawazi sasa hv imeua kabisa hiyo scenario kilichobaki ni malezi ya familia, marafiki na binti mwenyewe, kama umeona na umechunguza anakufaa we rukia hiyo pisi, usiangalie watu wanasemaje.
 
Niliwahi kutana na pisi kali kutoka mbulu kipindi nipo UDSM alionekana kunipenda Sana sasa akawa analazimisha tuoane nikamwambia subiri Mimi nikawa namchunguza Kwa Siri, yaani hiyo tribe hovyo Sana kumbe shemeji zangu akina Garmaa walikuwa wanakula.

Kuna siku nilimkuta Garmaa chumbani kwake mi nilienda bila taarifa jamaa alikuwa mkali kama mbogo afu anagonga lugha yao dada akawa ananituliza na kunambia kwamba yule jamaa ni wa ukoo mmoja nisihofu.

Sasa kuna broo mmoja kutoka mbulu hakuwa dent but an Alumni alikuwa anamchukuwa na kwenda kuspent nae Serengeti national park wakati wa likizo za mwaka siku ya siku jamaa akawa anamfanyia bonge la sherehe ilikuwa birth day ya huyo mdada ambalo aligawa kadi Kwa mafans wake wahudhurie.

Yupo jamaa mmoja aliyekuwa best yake alipata kadi lakini asingeweza kuhudhuria alikuwa anahitajika kazini kwake Kwa ajili ya uhakiki wa vyeti kwa watumishi wa umma hivyo akanipa kadi ambapo Mimi nilikuwa sijui kinachoendelea nikahudhuria hafla hiyo lilikuwa vibe la kutosha na dada akavishwa Pete ya uchumba.

Hakujua kama nilihudhuria siku chache baadae maisha yalisonga mbele akaja geto Pete hana na mzigo ukaliwa kama kawa ingawa yule jamaa alemvisha Pete ilibainika alikuwa na familia hivyo huyu alikuwa kiburudisho, mwisho niligundua wanaweza oana wenyewe Kwa wenyewe huenda aidha wanafahamu huo utamaduni au kuna mzizi wa uvumilivu lakini Kwa mwingine asiye wa huko kiukweli ni mtihani.
 
wambulu kazi mnayi humu wadau wamewapa sifa mbaya vibaya mno ntaenda kutembelea mbulu nijionee
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom