20PROFF
JF-Expert Member
- Nov 5, 2013
- 8,217
- 7,255
Mimi sichepui nachukua moja kwa moja...hahaa
Hahay all the best, tembea na.mafuta laini.mkuu
Mimi sichepui nachukua moja kwa moja...hahaa
Hahay all the best, tembea na.mafuta laini.mkuu
uzuri ni tabia ya mtu.. hizo sura ni ziada tu kwanza na makeup zinawasaidia, ukimkuta asubuhi wakati mdio kaamka aisee unaweza ukamkataa.
Yani ata kama wewe upo kama uyo kwakua uko karibu... ..basi nahisi mlango wa neema umeanza kufungukia hapahapa jf...niko better...hahaaa.
tabia inrekebishwa mkuu ila sura huwez rekebisha hata kwa make up za bei ghali
mdogo wangu umeniuwa umesema uko better? Kaza mwendo hii ngazi utaipanda kweli?
Wacha nicheke mie
Kwanini mdada?
Mi sio mdogo infact.. ..Sipandi kama ngazi...nakwea kama lift...bila kutumia nguvu
Hapo vp napata mzigo??
Mi nacheka wanapopatikana hao, maana hata kwetu wapoo.
ongea yako tu inakudefine udogo wako. Kuwa karibu na babu zako akina asprin walifanyaje fanyaje
We sio mmoja wao?
Usibabaike na sura, je injini ipoje?
Kuwapata kama hao uwe na rada inayoitwa Pesa! Hii itakuongoza pa kuwapata!
Vp..ni wakarimu