Hata bungeni dodoma wapo tele
Mi mwenyewe nikijitia kope na foundation nakua hivyo shida tunatumia baby care hivyo tunakua wa kawaida tu
hawapo hapa tz
Nenda kwanye ofisi za "emirates" pale "Elia complex" posta town karibu na chuo za CBE, wapo zaidi ya huyo.
Nipe anuani yako nikutumie kwa DHL/FEDEX !!!
Ha ha ha ha... umenipata, basi ntabaki nao mwenyewe!!Hao wahudumu si watanifitini kabla sijachukua mzigo..!?
You made my day!! Lakini mbona huyu hana zaidi !!! tetramelyz huyo ni wa far-east ?!!
Wewe. Jana nilikua nazunguka na wife aisee niliona mtoto huyo hadi mama Akasema mh mwangalie tu mpenzi. ki dada kizuri.
Unajua nilitamani kukateka.
Mmmh!! wa huko NH ni bariiiidii!! utapambana na theluji....Yawezekana~Yani hata kama ni wa nothern hemisphere mi napambana mpaka kieleweke hukohuko
Wewe. Jana nilikua nazunguka na wife aisee niliona mtoto huyo hadi mama Akasema mh mwangalie tu mpenzi. ki dada kizuri.
Unajua nilitamani kukateka.
Tembea uone hapa hapa tz WaPo wa kutosha na zaidi ya huyo.
Huyo anafanana na housegirl wangu....
unatuonesha uso tu, tuoneshe na shape
Mi mwenyewe nikijitia kope na foundation nakua hivyo shida tunatumia baby care hivyo tunakua wa kawaida tu