20PROFF
JF-Expert Member
- Nov 5, 2013
- 8,217
- 7,261
Mi mwenyewe nikijitia kope na foundation nakua hivyo shida tunatumia baby care hivyo tunakua wa kawaida tu
U r amaizing tatizo lako moja tu.
Mi mwenyewe nikijitia kope na foundation nakua hivyo shida tunatumia baby care hivyo tunakua wa kawaida tu
Si ndio, sema Jamaa atabisha tu, hebu mwekee picha akupe nyota unazostahili mama.
uzuri sio sura.
Tuko rombo
Ni nini anko?? Na sura ni nini?
Ha ha ha ha... umenipata, basi ntabaki nao mwenyewe!!
Nipo tayari kabisaMmmh!! wa huko NH ni bariiiidii!! utapambana na theluji....
Lmfao.
I stumble upon the funniest comments.
Mnawishe uso kwa sabuni ya mkaa, mtoe clown cape hyo kchwan ka hujaona afadhari umwelani kusiniiiii
Jungle Fever...
Umetembea nchi ngapi dunia hii?
Ushafika Ibiza? San Huan? Acapulco Bay? San Tropez? Montego Bay? Copacabana? Waikiki Beach? The original Coco Beach? Monaco? Caracas? Bogota? Stockholm? Mayotte? Copenhagen?...
U r amaizing tatizo lako moja tu.
uzuri ni tabia ya mtu.. hizo sura ni ziada tu kwanza na makeup zinawasaidia, ukimkuta asubuhi wakati mdio kaamka aisee unaweza ukamkataa.
Ana tatizo gani huyu mrembo?
Unamaanisha nitembelee huko kwenye fukwe mbalimbali duniani sio?
Utawakuta kwa mafungu, bila kodi.
Wacha maneno, ila hao wa mafungu siwataki wamechacha
Mbona wapo wengi tu mkuu,
Kwasababu hata Sttiii Mtemvuu alifanana na huyo alipoivaa hiyo crown