Hivi wadada kama hawa wapo dunia hii?

Hivi wadada kama hawa wapo dunia hii?

Megan-Young.jpg

Wanapatikana wapi,??

mkuu nijibu vizuri, vip wew una hela ya kuweza kumfanya aendelee kuwa ivo? Kama hauna basi acha tamaa wenye nazo wale kilichoiva. Ukoo wetu wapo zaid ya huyo kama uko vizuri na ming'ombe yenye pembe ndefu jiandae.

Nakutakia tamaa njema.
 
mkuu nijibu vizuri, vip wew una hela ya kuweza kumfanya aendelee kuwa ivo? Kama hauna basi acha tamaa wenye nazo wale kilichoiva. Ukoo wetu wapo zaid ya huyo kama uko vizuri na ming'ombe yenye pembe ndefu jiandae.

Nakutakia tamaa njema.

Yani ata kama wewe upo kama uyo kwakua uko karibu... ..basi nahisi mlango wa neema umeanza kufungukia hapahapa jf...niko better...hahaaa.
 
Niliwahi kumuona mmoja kama huyu mitaa ya Uwanja wa Fisi usiku wa manane nikatoka baru nikidhani ni jini!. Kumbe watu wa uzuri huu wapo kiukweli na sio majini!. Ningejua ningesimama tuu na kumpa lifti.
 
Niliwahi kumuona mmoja kama huyu mitaa ya Uwanja wa Fisi usiku wa manane nikatoka baru nikidhani ni jini!. Kumbe watu wa uzuri huu wapo kiukweli na sio majini!. Ningejua ningesimama tuu na kumpa lifti.

Hahahahahaaaa, polee, ulichezea sh. Kwenye tundu kwa bahati mbaya ikatumbukia,. Unga tera sasa...
 
Back
Top Bottom