Hivi vitu vina maana gani?

Hivi vitu vina maana gani?

Mwanamke kuwa kichwa wazi. Biblia inasemaje kuhusu Mwanamke kitembea kichwa wazi, na mfano wa hayo, kuvaa nguo za kubana.

Nataka uniambie kwa mujibu wa Biblia.
Inawezekana wewe biblia unaijua kuliko Mimi, tafadhali share na Mimi maarifa kwa vifungu kukusu hizo nguo za kubana
 
Ninyi wavaa kobaaz huwa munakaza shingo sana au kisa mumepewa ahadi ya mabikra 72 akhera..uo ni uongoooo nasemaje ni uongoooo
Kaka, ikikupendeza nakuomba uachane na majibu ya namna hii. Udhihirisho wa Ukuu wa Yesu Kristo hauji kwa majibu ya namna hii.

Ili wamfahamu na kumkubali basi tuonyeshe kuwa waungwana. Majibu ya namna hii huenda yakatafsiri kuwa wanaomwamini ni wendawazimu.

Ahsante na Ubarikiwe.
 
Inawezekana wewe biblia unaijua kuliko Mimi, tafadhali share na Mimi maarifa kwa vifungu kukusu hizo nguo za kubana
Mimi natumia kanuni ya Ujumla, ya kuwa mitume wote na manabii wote wa Mungu walikuwa na dini Moja, ila walitofautiana Sheria, Sheria ya Musa haikuwa Sheria ya Yesu wala Sheria ya Muhammad, ila walikuwa na Imani Moja. Ndiyo maana nimekuuliza swali.

Bibie ngoja nikusaidie kitu kimoja kwa Mola hakuna ujanja ujanja, na muongozo wa Mola imekamilika. Ukiona mtu anaacha mafundisho sahihi ya Dini, akafanua jambo lake hata likafanikiwa ujue hapo amepata msaada wa Shetani na amepewa mtihani na Mola.

Wewe nimekupa hiyo kazi, ifatilie. Kisha uje kunipa mafundisho ya Yesu juu ya hizo nukta nilizo kupa. Ukiona yanaenda kinyume na wanayo fanya hao manabii feki, uje tujadili hii kadhia.

Yaani tukitoka hapo tutakuja hatua ya pili, ya kuyahakiki hayo maandiko Sasa.
 
Mimi natumia kanuni ya Ujumla, ya kuwa mitume wote na manabii wote wa Mungu walikuwa na dini Moja, ila walitofautiana Sheria, Sheria ya Muda haikuwa Sheria ya Yesu wala Sheria ya Muhammad, ila walikuwa na Imani Moja. Ndiyo maana nimekuuliza swali.

Bibie ngoja nikusaidie kitu kimoja kwa Mola hakuna ujanja ujanja, na muongozo wa Mola imekamilika. Ukiona mtu anaacha mafundisho sahihi ya Dini, akafanua jambo lake hata likafanikiwa ujue hapo amepata msaada wa Shetani na amepewa mtihani na Mola.

Wewe nimekupa hiyo kazi, ifatilie. Kisha uje kunipa mafundisho ya Yesu juu ya hizo nukta nilizo kupa. Ukiona yanaenda kinyume na wanayo fanya hao manabii feki, uje tujadili hii kadhia.

Yaani tukitoka hapo tutakuja hatua ya pili, ya kuyahakiki hayo maandiko Sasa.
Hebu kwanza walikuwa na dini moja ipi hiyo?
 
Back
Top Bottom