Madame S
JF-Expert Member
- Mar 4, 2015
- 17,190
- 34,526
acha wazimu wako 😂😂😁😃😃, Nime imagine ukiongeea mkuu
acha wazimu wako 😂😂😁😃😃, Nime imagine ukiongeea mkuu
We Ni uchi you unaoungelea maana sikuelewi!Ndiyo nataka uniambie Yesu hakuwaambia uchi ukoje sababu hili ni jambo muhimu sana.
Wewe tuachane na dini yangu, tuongelee kuhusu Biblia na Yesu anasemaje kuhusu haya yanayofanywa na manabii na kuhusu huo uchi.
Inabidi awe anasali. Mkazanie sana asali.Wassalaam,
Nina mdogo wangu yupo na miaka 13, kidato cha kwanza.
Huyu mtoto kiukweli ameteseka sana na baadhi ya mambo aliyoyapitia huyu mtoto yanatisha.
Alivyokuwa darasa la tano alipatwa na matatizo ya kuzimia,tatizo la kuzimia alianzia nyumbani na hiyo siku alikuwa katoka shule,alivyoingia ndani tulisikia akipiga kelele na kuanguka, tokea hapo alikuwa anazimia bila mpangilio hasa akienda shule hasomi.
Ikapelekea tukamuhamishiaa shule ya jirani na nyumbani,lkn kila akienda shule anazimia, Tumepambana sana na tiba na visomo lkn kama inapoa tu baada ya muda kinaumana tena
Alivyomaliza shule tukampeleka znz nyumbani kwaajili ya tiba, maana alikuwa akizimia anapandisha mashetani akizinduka anapotolea kusiko julikana. Kafanyiwa tiba znz na tukaambiwa kapona na hayawezi mtokea tena.
Karudi home, tumempeleka shule kaingia darasani wiki moja tu kimeumana tena kila akienda shule anazimia, Kiukweli tu, wenyewe tumeshachoka na hii hali ya dogo maana tumezunguka sana kutafuta tiba na visomo lkn hakuna wapi.
Wiki iliyopita kaanza kutumia maji na mafuta ya...
J,nne karudishwa shule kasema anakuhoa sana na mbavu zinambana na kuna kitu kimemkaba kohoni kama anataka akitapike.
Leo usiku baada ya kufuatilia maombi katapika vitu hivi.
Hivi kama kavitoa hivi inamaana hatosumbua tena?
View attachment 2538649View attachment 2538650
Unakatwa na mtume MudyHakafu wangese kama wewe ambao mada mnataka kuigeuza ya dini kojoa ukalale
Kwani kifungo changu hakijaisha tu, coz I miss yah my friend🤗🤗 Madame Sacha wazimu wako 😂😂
Je, umefunzwa kumtendea mtu kadri ya alivyokutendea? Usilipize baya kwa baya.Kwa yeye anayedhihaki katumia hisia nzuri
Karibu Tena Madam.asante sana mkuu, ubarikiwe
mimi pia huwaza hivohivo imani ndio funguo ndugu yanguMadame S hii nguvu ya mwamposa inanitia shaka kidogo, maana yasije kuwa maajabu kama ya kina tb Joshua 🤔🤔
Zile pigo za kule Nigeria sio kabisa, ila hope tukipona. Hatuto sumbuliwa na majanga mengine
Ila mzima wewe rafiki, maana Ni muda Sasa toka tuongee🤔🤔
nimesoma cuba, nimekuelewa sanaa
Kojoa ukalale punguani wahediUnakatwa na mtume Mudy
mkuu hauna ukanitumia??? naomba sana kama unavyo unitumie japo ntavitafutaUkitaka kupata faida zaidi tafuta vitabu hivi ujue Shetani anavyo fanya kazi na kuwapoteza watu :
1. Talbisi Ibilisi (Ushawishi/Upotoshaji/ wa Shetani) Cha Ibnul Jawziy.
2. Awliyai Rahman wa Awliyai Sheytwan (Marafiki wa Allah na Marafiki wa Shetani) Cha Ibn Taymiyyah.
achana naye ukute huyo ni mlevi amekuja kutoa hangover zake usimjibu muungwana akivuliwa nguo anachutamaKojoa ukalale punguani wahedi
Yeah nimelijua, and I promise sitorudia. Lift my ban please. Madame S pinky promise🤭🤭 umeshalijua kosa lako?? umerekebisha??
Nitakutumia.mkuu hauna ukanitumia??? naomba sana kama unavyo unitumie japo ntavitafuta
yes sisomi mkuu mimi n muslim japo hainizuii kutokusomaHapana si kosa..but sikulaumu sana maana nmekunukuu ukisema hata biblia huwaga husomi
naomba nije nikutumie emailNitakutumia.