Hivi vijana wengine mnaharakisha nini kuoa?

Hivi vijana wengine mnaharakisha nini kuoa?

Sasa Mungu akupe nini sasa Dada angu, Hapo cha kufanya usichangie hata senti katika hizo pilika, muache aoe...Tena kama hana kazi ndo kheri....Tafuta mtaji fungua biashara hata ya duka, mgeni siku ya tatu jembe begani ama neneee, unamwambia Shost kukaa bure haiwezekani, kaa dukani...
Unajipatia mfanyakazi wa bureee....
Mkuu mie nia yangu asome awe na maisha yake manake waliwasema sana kua hawa watoto watakua washezi wa fadhila kama wazazi wao lakini mimi sikuamini na mpaka sasa siamini,nimejitahidi kuwapa mapenzi na waone maisha kwa mtazamo mwengine lakini wapi wenzake wawili wanamaliza chuo mwakani huyu ndio ananiumiza kichwa na i wony give up on him ,ntajitahidi sana na nikishindwa ntaumia sanaaaa...
 
Mkuu nimemwambia rudi shule mie mambo ya posa na vyengine ntafanya mimi ili niweze kumsoma mwanamke vizuri
ndio aliponambia kua kuna mtu kaja anataka kuolewa na asipo peleka mahari kabla hajakwenda chuo basi yeye ataolewa hamsubiri,nikamwambia anipe maana na penzi au kupenda,sababu kama kweli huyo binti anakupenda atakusubiri,mtoto hanielewi anasema Mom unamambo ya ukoloni sana... leo nimekua mkoloni mie?

soma tena post yangu mama au nawe huelewi? akaishi kwake kwanza - kwa gharama zake! ndoa si jambo la zimamoto...
 
NIMPENDENANI kama ni mkrisru funga na kuomba inawezekana shetani anataka kumuharibia maisha huyo kijana afe mapema kabla ya wakati. Kuna rafiki yangu waliachwa yatima na yeye ni firstborn akaamua kusomesha ndugu zake wote 6. Kijana kufika second year akataka kuoa akamwambia dadake wacha dada mtu awe mkali amkemee kijana akang'ang'ania dada akamwambia siku ukioa tayari ushakuwa mkubwa na ndio siku nitasitisha kukusomesha nakukufanyia kila kitu. Kumbe tayari alishampa msichana mimba ndio haraka yote hiyo. Akaamua kuoa na kweli dada mtu hakuhangaika nae tena lakini huyu kijana aliacha chuo anaishi maisha ya taabu sana na ana wattoto wawili sasa kaamua kuwa mchungaji karudi kwa dada ake kuomba msamaha dadake kamwamvia nimekusamehe lakini sina pesa ya kukusomesha. Basi ndio kajiharibia maisha
 
Last edited by a moderator:


Sielewi waungwana hebu nisaidieni, jee kumwambia subiri ni sawa au nimekosea.


Dada nikushauri kitu, kwa sababu familia inazidi kukua na mumeo (as I see it) hatoi msaada. Tafuta some money, nenda chalinze/msata/lugoba/chanika/mkuranga or somewhere like that nunua eneo kubwa tu. Ukiona mtu anakaa kwenu hajitambui (hana mchango kwa house economy). Mpeleke akalime period! Usigombane na mtu hata akisema maneno mabaya kiasi gani, maisha yenyewe mafupi!
 
shosti nimemlea yeye tangu akiwa na 6 yrs Baba zake walisema hawawezi kuwalea wapelekwe kijijini hapo ndio nimeolewa nna mimba ya mtoto wangu wa kwanza nikawachukua kwa mapenzi yangu yote na nimewambia kua mimi ntakua mama yenu kuanzia leo yani nimejaribu nnavyoweza,chuo anasoma Malaysia hela nalipa ya ada leo anasema simpendi tena ana sema angekuwepo mamangu angenikubalia lakini wewe sio mamangu ndio mana unakataa nimelia yani mpaka sasa naandika nalia yani yote hayo bado tuu sijafanya kheir? nimemwambia fikiria tena mamuzi yako .....

Hata usilie mwache alalie papuchi aamke nayo akishaichoka ndiyo atajua unampenda au lah!achana nae anadhani ndoa ni pipi
 
Ahsante,kwakunielewa nimemwisha kumwambia wadogo zake amewambia nyie mnaka hapa mtasomeshwa mpaka mzeeke
mie kusoma basi nataka kuanza maisha nikimuangalia namuonea huruma sababu hakuna ndugu wa baba yao wala wa mama yao anawataka lakini sasaivi wamesimamanae sababu anataka kuoa wanamwambia babako kamuoa mamako walikua wanaka kwa bibi yenu ivi kweli hayo ni maneno yakumwambia mtoto?




Hilo ni jaribu mpendwa haina budi ulivuke tena mungu akupe busara na hekima katika kufanya maamuzi katika hili!
 
NIMPENDENANI kama ni mkrisru funga na kuomba inawezekana shetani anataka kumuharibia maisha huyo kijana afe mapema kabla ya wakati. Kuna rafiki yangu waliachwa yatima na yeye ni firstborn akaamua kusomesha ndugu zake wote 6. Kijana kufika second year akataka kuoa akamwambia dadake wacha dada mtu awe mkali amkemee kijana akang'ang'ania dada akamwambia siku ukioa tayari ushakuwa mkubwa na ndio siku nitasitisha kukusomesha nakukufanyia kila kitu. Kumbe tayari alishampa msichana mimba ndio haraka yote hiyo. Akaamua kuoa na kweli dada mtu hakuhangaika nae tena lakini huyu kijana aliacha chuo anaishi maisha ya taabu sana na ana wattoto wawili sasa kaamua kuwa mchungaji karudi kwa dada ake kuomba msamaha dadake kamwamvia nimekusamehe lakini sina pesa ya kukusomesha. Basi ndio kajiharibia maisha
Ahsante sana kwa ushauri ntajiatahidi sana........
 
Hata usilie mwache alalie papuchi aamke nayo akishaichoka ndiyo atajua unampenda au lah!achana nae anadhani ndoa ni pipi

shosti huyu kijana nimdogo sana na hajakulia Tanzania sasa amekuja likizo naona hiyo papuchi sasa ndio anaisikilizia kisawasawa mpaka anapagawa,sujui anapewa style gani nashindwa kuelewa..
 
Duu dunia ina maajabu hakika! niwie radhi kusema kuwa mumeo naye ana tatizo kabisa kussuport ujinga kama huo! Kaa na mumeo mueleze na umuulize anavyo support anafikiri huyo kijana atakaa wapi na huyo mkewe? Hivi huyo ni msichana wa aina gani anaye kubali kwenda kusondekwa kwa wakwe? Hakika huyo kijana anaumwa kabisa kichwa.

Jaribu kumuuliza atamlisha nini mwenzie? atakaa wapi na mkewe? halafu waite wenzie uwaeleze na yeye akiwepo. huu ujinga sijawai kuuona hadi inatia hasira! Kama kaamua kuoa atafute pakukaa na mkewe.
 
Umepewa kila aina ya ushauri huonekani kuukubali wowote, basi fanya kama halmashaurivya ubongo wako itakavyokutuma.
 
huyu msichana hata sijui na pia nasikia ana mtoto mmoja wa miaka miwili,mie ndio nazidi kuchoka akili.......[/QUOT

Hivi hao wazazi wa huyo msichana wanao kubali kumuoza mtoto wao kwa mtu wa namna hii wana akili timamu kweli? au huyo msichana kachokwa kwao? Hakika mdogo wako kaharibikiwa kabisa! Kaa na ndugu zake uongee nao usikubali ujinga kama huu!
 
Nimdogo sana he is just 21 anaoa nini? kazi hana analishwa anavishwa pesa ya matumizi pia anapewa huyo ni mumekweli?

Mkuu NIMPENDENANI, pole sana. Umri huo ni mbaya kwa vijana maana ni umri ambao mwili unachemka na kijana anaona dunia yote ni yake, na katika umri huo, mapenzi/ndoa yanatawaliwa ni mambp ya kitandani, hawafikirii kama kuna kuvaa, kuzaa, kuugua n.k. Nakushauri utafute mtu mzima tofauti na nyie walezi wake ili aongee na huyo kijana kuhusu maana halisi ya kuoa. Kama nyie ni watu wa dini, shirikisha viongozi wa dini katika kumpa ushauri. Aidha, kama tatizo ni kwamba kaonjeshwa, mwambie anedelee kuonja bila kumweka ndani mpaka atakuwa kuwa na hali ya kumwezesha kutunza familia.
 
shosti huyu kijana nimdogo sana na hajakulia Tanzania sasa amekuja likizo naona hiyo papuchi sasa ndio anaisikilizia kisawasawa mpaka anapagawa,sujui anapewa style gani nashindwa kuelewa..

Anakula papuchi za moto akiongiza dushe hoi binti akisikia tena katoka nje ndiyo balaa haya mpe uhuru hata alale nje akule papuchi mpaka ajute alafu arudi.... Kwel akili ya mwanaume imeshikiliwa kwenye mbunye yani dogo anafikiria ndoa nikwenda kukojozana ahaaaaa mamy wala usijal ataokojoa mpaka atoe dawa ya jicho
 
Unapomtegemea mtu kwa kila kitu hadi kunya hili ni tatizo

ila sasa pale mwili unapoongozwa kwa hisia kuliko uhalisia hili ni tatizo la pili

Tabu inakuja pale kichwa cha chini ndio unachotegemea kukufanyia maamuzi hili ndio tatizo kubwa zaidi
 
Back
Top Bottom