Hivi vijana wengine mnaharakisha nini kuoa?

Hivi vijana wengine mnaharakisha nini kuoa?

Anakula papuchi za moto akiongiza dushe hoi binti akisikia tena katoka nje ndiyo balaa haya mpe uhuru hata alale nje akule papuchi mpaka ajute alafu arudi.... Kwel akili ya mwanaume imeshikiliwa kwenye mbunye yani dogo anafikiria ndoa nikwenda kukojozana ahaaaaa mamy wala usijal ataokojoa mpaka atoe dawa ya jicho

kwenye bold hapo mkuu miss chagga umeongea maneno mazito sana kama mama paroko vile...hongera kwa kuwa kungwi mkomavu, ahaaa....
 
Vijana wa leo wanaongozwa na hisia kuliko uhalisia..kama angekuwa anafahamu uhalisia wa ndoa na changamoto zake angetumia busara....lakini bahati mbaya yeye anawaza tu utamu wa mbunye...anafikiria ule utamu wa mbunye alioupata kwa masaa kadhaa gest itakuwaje kama ataupata kwa usiku mzima.....huku akisahau majukumu atakayoyakabili ambayo ni kuhudumia familia na mambo mengine ya msingi sana......yahusuyo familia kwa ujumla.........
 
umemuelewesha amekataa....Ungekuwa na mamlaka basi ungemtimua aoe uko uko lakini asitegemee msaada wako kuendesha ndoa yake.. toto jinga sana hilo
 
Kwanza naona huyo kijana yeye mwenyewe hajielewi lakini sina hakika mtu kama kweli akioa anaweza kumleta mke hapo kwako, kama akifanya hivo ujue kijana wako hazimtoshi na elimu aliyapata haijamsaidia
 
huyu msichana hata sijui na pia nasikia ana mtoto mmoja wa miaka miwili,mie ndio nazidi kuchoka akili.......[/QUOT

Hivi hao wazazi wa huyo msichana wanao kubali kumuoza mtoto wao kwa mtu wa namna hii wana akili timamu kweli? au huyo msichana kachokwa kwao? Hakika mdogo wako kaharibikiwa kabisa! Kaa na ndugu zake uongee nao usikubali ujinga kama huu!
Yani mkuu nimeongea na wazazi wa hayu Binti hii asubuhi nakawambia kijana wangu bado mdogo anasoma shule bora tusubiri amalize huweai amini maneno alosema mzazi wa huyu binti,eeeh mdogo eeh mbona anavyokuja akimparamia anajua aichomeke wapi,mtoto kwako unakowalea kama mayai baba mzima kila unalo mwambia eti subiri nikamweleze Mama sasa kwa taarifa yako namsubiri kwa hamu hapa atakupa salam zangu,mie sikujua hata nimwambieje akakata cm..
 
Kwanza naona huyo kijana yeye mwenyewe hajielewi lakini sina hakika mtu kama kweli akioa anaweza kumleta mke hapo kwako, kama akifanya hivo ujue kijana wako hazimtoshi na elimu aliyapata haijamsaidia
Mkuu ameshasema kua chumba chake atakaa mkewe,yani anipe kazi yakulea mke apana bado amalize kusoma kwanza.
 
umemuelewesha amekataa....Ungekuwa na mamlaka basi ungemtimua aoe uko uko lakini asitegemee msaada wako kuendesha ndoa yake.. toto jinga sana hilo
Mamlaka nnayo sanaaaaa Mkuu ila namuonea huruma sana wacha nizidi kumuomba mungu,na baada ya kuongea na huyu mzazi wa binti ndio amenichosha nafsi yangu..........
 
Du! Mungu wasaidie wanachuo. mlilie Mungu atakuelewa tu.:clap2:
 
Vijana wa leo wanaongozwa na hisia kuliko uhalisia..kama angekuwa anafahamu uhalisia wa ndoa na changamoto zake angetumia busara....lakini bahati mbaya yeye anawaza tu utamu wa mbunye...anafikiria ule utamu wa mbunye alioupata kwa masaa kadhaa gest itakuwaje kama ataupata kwa usiku mzima.....huku akisahau majukumu atakayoyakabili ambayo ni kuhudumia familia na mambo mengine ya msingi sana......yahusuyo familia kwa ujumla.........
Yani na Wish angekua anajua kiasi gani anataka kuharibu maisha yake na nikimuliza umekutana na huyu binti wapi anasema shamba alikua anatembea na mtoto mgongoni all by herself she really tourched my heart,nilibaki namuangalia tuu...
 
yani wanaume wengine sijui wanafikiria kumpa wembe ndio dawa......

Wanasema hivyo kwa sababu hawawez pata shida achana nao hawa mizigo yote tunabeba kina mama usimpe wembe pambana kukataaaa mpaka mwisho na akilazimisha basi akipata ya kumpata mkumbushe kabisa tena ikiwezekana mrikodi uje umwonyeshe ...mabinti wenyewe kina miss chagga ujana mwingi hapa na pale tamaa kibao pesa mbele hahaha haha
 
Yani mkuu nimeongea na wazazi wa hayu Binti hii asubuhi nakawambia kijana wangu bado mdogo anasoma shule bora tusubiri amalize huweai amini maneno alosema mzazi wa huyu binti,eeeh mdogo eeh mbona anavyokuja akimparamia anajua aichomeke wapi,mtoto kwako unakowalea kama mayai baba mzima kila unalo mwambia eti subiri nikamweleze Mama sasa kwa taarifa yako namsubiri kwa hamu hapa atakupa salam zangu,mie sikujua hata nimwambieje akakata cm..
Mmh kwani kampa mimba? unapajua anapoishi huyo msichana? maisha ya kwao yako vipi? kwa kifupi kwa maelezo ya huyo mzee ni wazi kuna jambo anafanyiwa mdogo wako na huyo mzee! hapa kuna shughuli za kishirikina si bure! Ulishawai kuongea na ndugu wa mdogo wako ukawaeleza? Hakika usikubali aoe na amlete hapo kwako..mwambie kama kaamua kuoa atafute pakwenda na mkewe lasivyo asubiri apate kazi! Ni vyema ukawashirikisha watu wengine hili jambo si dogo!
 
Alishajichana aridi kwa mother amleee acheni hizo .. Mumewe anasema amwache kwa sababu impact zitamfikia indirect wanume bana fyuu
sasa kama haelewi unamfanyeje, muache akaonje utamu wa kunjunja kila siku anataka kulala uchi daily huyo kijana hana lolote
 
Alishajichana aridi kwa mother amleee acheni hizo .. Mumewe anasema amwache kwa sababu impact zitamfikia indirect wanume bana fyuu
​sawa una huruma ya mama lakini amekuwa mbishi sasa unamfanyeje mwache aende majuto ni mjukuu
 
Mmh kwani kampa mimba? unapajua anapoishi huyo msichana? maisha ya kwao yako vipi? kwa kifupi kwa maelezo ya huyo mzee ni wazi kuna jambo anafanyiwa mdogo wako na huyo mzee! hapa kuna shughuli za kishirikina si bure! Ulishawai kuongea na ndugu wa mdogo wako ukawaeleza? Hakika usikubali aoe na amlete hapo kwako..mwambie kama kaamua kuoa atafute pakwenda na mkewe lasivyo asubiri apate kazi! Ni vyema ukawashirikisha watu wengine hili jambo si dogo!
Mkuu sio mdogo wangu ni mtoto wa shemeji yangu nimemchukua tangu anamiaka 6 sasa ana21 nimemsomesha nje sasa alikuja likizo ndio akakutana na hicho kituko amekolea,nimemuita Dad,babu yao wa kwa baba na bibi yao wa kwa mama ..watakuja jioni...
 
Wanasema hivyo kwa sababu hawawez pata shida achana nao hawa mizigo yote tunabeba kina mama usimpe wembe pambana kukataaaa mpaka mwisho na akilazimisha basi akipata ya kumpata mkumbushe kabisa tena ikiwezekana mrikodi uje umwonyeshe ...mabinti wenyewe kina miss chagga ujana mwingi hapa na pale tamaa kibao pesa mbele hahaha haha
Anatakiwa asikubali kabisa hili jambo na aking'ang'ania atafute pa kwenda na mkewe sio hapo kwake na ikiwezekana aitishe kikao kabisa na amueleze mbele ya ndugu zake kuwa hakubaliani na hilo jambo kabisa na hatokubali.
 
Back
Top Bottom