Hivi vijana wengine mnaharakisha nini kuoa?

Hivi vijana wengine mnaharakisha nini kuoa?

yaan ukimruhusu aoe ujiandae kumtunza yeye na mke ikiwemo kumsomesha amalize shule yake au kumwacha aishi maisha yake mwenyewe atakayokuwa amechagua. Endelea kumshauri lakin ataelewa labda. Yawezekana hako kadada kameng'ang'aniza akaoe nae hataki kukapoteza
Amekuja likizo anatakiwa arudi chuo mwisho wa mwezi huu,ameshikilia lazima apose ndio aende manake mwanamke amemwambia kuna mtu pia anataka kumposa,yani aliponambia hivyo nikasema huyu hajui watoto wa kibongo
lakini naanzaje kumwambia huyu msichana muongo....hapa sichanganyiiiii sijui nisemeje ili anielewe...
 
Safari ya malezi hujaikamilisha, usikatishwe tamaa na kiu ya kuoa ya huyo mwanao, fanya hivi:-

Mkiisha kwisha kumpa tahadhari zote kuhusu raha karaha na adha za mume kwenye ndoa naye akachagua kupambana nazo, Muungeni mkono ili kumuepusha na hofu pindi atakapokosea asijeshindwa kuomba mbinu za urekebu kutoka kwako/kwenu.

Kama hana chumba mtafutieni apange, tena isiwe karibu na mnapokaa, msaidieni kupata samani za kawaida kuanzia maisha. Muoleeni mke mumuache aishi, akifika kwa mchungaji atasomewa mstari "mume atawaacha wazazi naye ataambatana na mkewe nao watakuwa mwili mmoja" hilo ndio geti la kutokea kwako manake shida na raha watatangaziwa kwenye madhabahu kukabiliana nazo.
 
Huyu kijana na mpenzie wote mburura yani jamaa hata chuo ajamaliza achilia hilo ujana bado anao unampa tabu alafu unakubali kuolewa na mtu wa hivyo kasi kweli kwel ...mama weee mweleze kama mlezi akilazimisha toa mahari aoe alafu kaa pembeni mtu akiongeza familia jua anauwezo wa kutunza sitaki kuamini kama upo timamu ujaweza kujilea alafu unaongeZa mtu ...nikae kimya tu labda anaona mnafaidi sana

shosti nimemlea yeye tangu akiwa na 6 yrs Baba zake walisema hawawezi kuwalea wapelekwe kijijini hapo ndio nimeolewa nna mimba ya mtoto wangu wa kwanza nikawachukua kwa mapenzi yangu yote na nimewambia kua mimi ntakua mama yenu kuanzia leo yani nimejaribu nnavyoweza,chuo anasoma Malaysia hela nalipa ya ada leo anasema simpendi tena ana sema angekuwepo mamangu angenikubalia lakini wewe sio mamangu ndio mana unakataa nimelia yani mpaka sasa naandika nalia yani yote hayo bado tuu sijafanya kheir? nimemwambia fikiria tena mamuzi yako .....
 
Nikujitakia matatizo tu yann kukaa na jitu zma
 
Habari za asubuhi wana Jamii Forums.
Nikamuliza amejipanga vipi sababu bado anasoma kwanini asimalize chuo ndio akafikiria kuoa.

Cha ajabu amekwenda kumwambia mume wangu kua simpendi na sitaki akae kwangu na mume anashikilia muache aoe eti mtoto akililia wembe mpe,
alikwambia amejipanga vipi???...maana na mumeo anamsupport...naye alijiridhishaje???ebu fafanua ,..habari ipo robo..
 
Safari ya malezi hujaikamilisha, usikatishwe tamaa na kiu ya kuoa ya huyo mwanao, fanya hivi:-

Mkiisha kwisha kumpa tahadhari zote kuhusu raha karaha na adha za mume kwenye ndoa naye akachagua kupambana nazo, Muungeni mkono ili kumuepusha na hofu pindi atakapokosea asijeshindwa kuomba mbinu za urekebu kutoka kwako/kwenu.

Kama hana chumba mtafutieni apange, tena isiwe karibu na mnapokaa, msaidieni kupata samani za kawaida kuanzia maisha. Muoleeni mke mumuache aishi, akifika kwa mchungaji atasomewa mstari "mume atawaacha wazazi naye ataambatana na mkewe nao watakuwa mwili mmoja" hilo ndio geti la kutokea kwako manake shida na raha watatangaziwa kwenye madhabahu kukabiliana nazo.
Sijakata asioe lakini mda bado na mimi sina mda wakuchunga mke wa mtu wala kumpa masharti sijui am 35yrs ni imani yangu tuu kuwasaidia sababu wao ni yatima nna watoto wangu waananitaji,yani namuomba mungu anipe Subra yakuweza kulikabili hili manake naona dhiki ndani ya moyo wangu na wanawake wengine sijui wakoje,wakimuona mtu anagari hata kama hana kazi kwao sawa tuuu...
 

alikwambia amejipanga vipi???...maana na mumeo anamsupport...naye alijiridhishaje???ebu fafanua ,..habari ipo robo..


Mtoto amesema yeye atamuoa halafu aje akae nyumbani huyo mke,na mumewangu anasema hananeno kama mimi nikikubali..
 
Ndio umekuja kunisema humu eeeh.. Naoa na mimba nishatia .jiandae na family
 
Mwambie aoe halafu amuache kwao....Halafu nyie Wazenji etiii?
 
Nikujitakia matatizo tu yann kukaa na jitu zma
Yani sijui najisikiaje na hii tabia sio yake kabisaaaaaaaa huyu mtoto he is very Humble anapokuja kuongea na mimi sijui amekutwa na nini..........
 
Duh pole sana yaani nimesoma haya maelezo yako nimekumbuka mbali sana nimelia hadi kulia una moyo wa kipekee kabisa tena kwa sisi wanawake aiseehh aiseeh ur so unique mami God bless you...pili hebu ongea nae tena huyo kijana jamani nahisi huyo mwanamke amemchanganya vya kutosha jamani! Maisha ni magumu sana nadhani hajui hilo coz anapata all his basic needs ndiyo maana anajua hata akioa utaendelea kuwa helper wake sikatai kumsaidia utamsadia lkn siyo kama alivyokuwa hapo kwako!!!
 
Bila shaka huyo kijana ni MUHAYA maana ndo wanaendekeza sana mambo ya NGONO na kuoana bila mpangilio kwa kutegemea misaada toka kwa ndugu na jamaa. Zaidi huyo dada atakuwa kampa MFEREJI MARINGO WA MAJI TAKA (DAWASCO) aka TIGO ndo maana kijana hasikii lolote
 
Duh pole sana yaani nimesoma haya maelezo yako nimekumbuka mbali sana nimelia hadi kulia una moyo wa kipekee kabisa tena kwa sisi wanawake aiseehh aiseeh ur so unique mami God bless you...pili hebu ongea nae tena huyo kijana jamani nahisi huyo mwanamke amemchanganya vya kutosha jamani! Maisha ni magumu sana nadhani hajui hilo coz anapata all his basic needs ndiyo maana anajua hata akioa utaendelea kuwa helper wake sikatai kumsaidia utamsadia lkn siyo kama alivyokuwa hapo kwako!!!

Ahsante,kwakunielewa nimemwisha kumwambia wadogo zake amewambia nyie mnaka hapa mtasomeshwa mpaka mzeeke
mie kusoma basi nataka kuanza maisha nikimuangalia namuonea huruma sababu hakuna ndugu wa baba yao wala wa mama yao anawataka lakini sasaivi wamesimamanae sababu anataka kuoa wanamwambia babako kamuoa mamako walikua wanaka kwa bibi yenu ivi kweli hayo ni maneno yakumwambia mtoto?
 
Mtoto amesema yeye atamuoa halafu aje akae nyumbani huyo mke,na mumewangu anasema hananeno kama mimi nikikubali..


Hata chuo school fees nalipa mimi leo nimekua simpendi, nimemwambia fikiria tena unachotaka kufanya.
huyo mke akiolewa nyumba yakukaa hana inabidi aje tena kukaa nyumbani.

Sielewi waungwana hebu nisaidieni, jee kumwambia subiri ni sawa au nimekosea.
..nikwambie kitu...pamoja na kuwa na majukum ya kumlipia karo unaonekana huna usemi kabisa juu yake...(voice of authority)...ni mtu gani asiye na fadhila ya hata kufikia kusema maneno ya uongo juu yako kwa mfadhili na mlezi wake?...imefikia wakati hata wewe unajiona guilty ilhali huna kosa...pengine anatake advantage ya udhaifu wako( kutokuwa firm on issues)......kuwa na msimamo...amini unacho amini,,hakulishi hakuvishi,,zaidi ya kukuongezea mzigo...kwanza kitendo cha kukuchongea kwa mmeo ni sababu tosha ya kusitisha ufadhili wako kwake..
 
Back
Top Bottom