Hivi unajisikiaje kulala ukiwa uchi

Hivi unajisikiaje kulala ukiwa uchi

Katika kitu ambacho nimeshinda kabisa ni Kulala nikiwa bila nguo kabisa yani bila kaboksa au pensi fulani la kwenda sitoboi.

Wenzetu mnaweza vipi? na umeshawai kufikiria kama Ikitokea dharura una save vipi
Umeishahioo
 

Attachments

  • 1755172724808.jpg
    1755172724808.jpg
    110.3 KB · Views: 12
Faida za kulala uchi:
1.Mwili kuwa wa Asili kama ulivyozaliwa.
2.Mwili kupata hewa bila mwingiliano na chochote Cha kuwepo,kama nguo zinazobana,chupi nk
3.Kuufanya mwili uwe huru na nguo,nk
4 Kufanya mwili ujitengeneze kama vile nyoka anavyojivua gamba nk.
 
KUNA SIKU YALINIKUTA
CHUMBA CHA MPANGAJI KILIWAKA MOTO

NKASIKI MOTO NKAHISI KWANGU NIKO UCHI NIKAVUTA SURUALI NJE FASTA KUFIKA NAONA WATU WANACHEKA

HAMAD NIMEVAA NJE NDAN SITAKI KUKUMBUKA
Chai
 
Back
Top Bottom